Mwambie huyo kajala kasoma kafika hadi form two yule pale makongo
Kama ulishawahi kukaa mahabusu hata wewe ungemtolea kama uwezo huo unao.
Ivi kajala ana kazi gani inayomwingizia kipato tofauti na uigizaji. Maana elimu yake najua ni std. 7 lakini kila siku ana hela. Anazitoaga wapi?
Mwambie huyo kajala kasoma kafika hadi form two yule pale makongo
Acha uongo kajala kasoma jitegemee jkt sec nimesoma naye
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Alikomea fom two nini?? Kisa ile mitihani ya michujo enzi zile eh??
Ndo nachokijua hata mimi. Amekomea fprm two, therefore ana elimu ya darasa la saba
wakuu naomba mnieleweshe kuhusu dhamana, ina maana wema alisemekana amemtolea kajala sijui milioni kumi na ngapi kumbe hazikua cash
Eheee hiiii mbasha atavumilia hilo ta.ko la kajala,mmmhhhhh mabwaku
Mbona mnanichanganya? which is which?
kajala alikuwa demu wa vigodoro, baadae p-funk majani akamhurumia akajitolea kumrekebisha tabia. Akamng'arisha akang'aa, baadae akaja kukengeuka kama yule alomwimba kala jeremiah (sekela)
ni sawa ufike form 6 halafu upate 0
tutakuhesabia kama form four basiiiiii
Mme wa mtu = mke wa mtu
Divide by 'wa mtu' both sides
Mme=mke
mkuu asante sana nimekusomaPale kesi ilikuwa imeshaamuliwa. Aidha Kajala alipe Ml 13 ama akatumikie kifungo Jela..
Hivyo Wema alimsaidia Kajala kulipa deni na siyo dhamana..
Mkuu polekuna mtu nilimuwekea dhamana by then akakimbia so ikabidi niwekwe kizuizin mpaka atakapopatikana
kajala anaijua jera nyie acheni tu niliwai kukaa mwezi tu sitamani tena itokee aixee,we jaribu kujifungia chumbani kwako kwa siku moja tu bila simu,tv radio wala chochote cha kukurefresh mind kama majarida,magazeti na nk then kesho uje usimulie balaa lake