TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Kwani Kwa wewe unavyoelewa neno "Kudanga" ni kufanyaje?Unao uthibitisho kwamba huwa anadanga?
Kwani Kwa wewe unavyoelewa neno "Kudanga" ni kufanyaje?
Kwani Kwa wewe unavyoelewa neno "Kudanga" ni kufanyaje?
Kukimbizana mbio za kupokezana kijiti
Exactly[emoji817]Kukimbizana mbio za kupokezana kijiti
Mjifunze jinsi ya kudangasasa sisi tufanye nini
kujifunza tena,,me nikajua kipaji cha kurithi ๐๐Mjifunze jinsi ya kudanga
Hamna mtu anazaliwa na kipajikujifunza tena,,me nikajua kipaji cha kurithi ๐๐
basi me nlikua sijui asee๐ค๐คHamna mtu anazaliwa na kipaji
Mfundishe mwanao pia kudanga maana inalipasasa sisi tufanye nini
Paula mbona mkali hivyo???Unao uthibitisho kwamba huwa anadanga?
Yule hana akili timamuHuyu mama anasikitisha kwakweli
Nina wasiwasi na Afya ya Akili ya huyu mama
Weka picha ya huo udangajiMtoto kaipokea Mirathi kutoka kwa mama yake na anaisimamia vema kabisa bila shida yeyote.
Maisha ni kupanga,ukiamua kumsomesha mtoto ili ndiyo uwe urithi wake wewe msomeshe,ikiwa una chembe chembe za Udangaji na Usimbe basi mwanao mrisishe hivyo ili vimsaidie maishani.
Ni hayo tu kwa Leo.
Ndimi Mzee wa Sina mengi.
TUKANA UONE
mwanangu acha arithi tu elimu kwakwel ๐Mfundishe mwanao pia kudanga maana inalipa