TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Mtoto kaipokea Mirathi kutoka kwa mama yake na anaisimamia vema kabisa bila shida yeyote.
Maisha ni kupanga,ukiamua kumsomesha mtoto ili ndiyo uwe urithi wake wewe msomeshe, ikiwa una chembe chembe za Udangaji na Usimbe basi mwanao mrisishe hivyo ili vimsaidie maishani.
Kuna kipindi cha maisha yao ambayo wanasema ni halisi huko Azam ingawa wanadhani wanafurahisha ila wanajidharirisha sana.
Ni hayo tu kwa Leo.
Ndimi Mzee wa Sina mengi.
TUKANA UONE
Maisha ni kupanga,ukiamua kumsomesha mtoto ili ndiyo uwe urithi wake wewe msomeshe, ikiwa una chembe chembe za Udangaji na Usimbe basi mwanao mrisishe hivyo ili vimsaidie maishani.
Kuna kipindi cha maisha yao ambayo wanasema ni halisi huko Azam ingawa wanadhani wanafurahisha ila wanajidharirisha sana.
Ni hayo tu kwa Leo.
Ndimi Mzee wa Sina mengi.
TUKANA UONE