Kajala Masanja....nifanye nini

Kajala Masanja....nifanye nini

Muwacheni dada wa watu na heshima zake. Wivu tu mjini hapa kisa kapata mume tena wa ndoa mwenye mahela yake....(hata kama ya sembe as far as tukienda kununua hakuna alama ya kutofautisha za sembe na zisizo na sembe). Mwaka huu shamimu amewakimbiza na atawakimbiza mbaya haters. Ombeni Mungu na nyie muangukie mihela na sio kuwa na chuki binafsi. Mama endelea na kampeni ya mambo ya kilimo dear MWISHO HATERS WATAKUWA BELIEVERS!!!!!!

Unamsifia tu huyo shamimu sijui shoga yako? Ndoa ya kwanza ilimshinda, unajua kwa nini?
Wadada wa mjini sijui dada wa mjini morogoro huyo kwa kupenda pesa, hadi kaamua kumuacha baba Iqra kwa ajili ya pesa.
Na kashajibebesha mimba, analo hilo! Wanaume wenyewe hao wa pesa ya sembe, kila sehemu wanaonja.
Shukuru tu kawekwa ndani anamfulia mume pichu. Anajifanya msafi hana usafi wowote.

Hivyo ule ugomvi wa sintah na mke wa mzungu yeye Shamimu si ndio mchonganishi!!

Mange amegombana na wangapi mjini hapa ukiachana na sintah???je ni shamimu huyo huyo alikuwa anamgombanisha?? Chuki binafsi zake na kwamba jamii imemuona mgomvi anaamua kumbebesha dada wa watu lawama. Mumuwache kwani hata kama kuvunjika kwa ndoa yake ya kwanza yeye sio wa kwanza kuolewa awamu ya 2. Eti anajifanya msafi kumbe mchafu.....kwani mumewe hakuwaona wengine wenye tabia njema au kama nyie kwenu ni wasafi mbona abdul hakumuona mmoja wa nduguzo ila akamuona shamimu?? Ujue Mungu akikubariki lazima waja waibue sababu........Shamimu kama unasoma hapa wewe songa mbele na tafuta fursa zaidi ili uwaue kwa mafanikio yako.....waumie zaidi nyoyo zao.
 
Uwii, nimekumbuka sasa. Umbea kweli kazi. Alietukana ni yule dadake richard benzosijuinini huko. Mwanamke anatapika matusi balaa. Hawa mashosti zako sawa hela wanazo, ila nadhani wana matatizo ya kisaikolojia.
na wale mbusi usisahau kuwakatia majani. shamimu hawezi kutukana kwenye video labda copy yake hahaha......
 
Hehehe no offence meant lakini umenikumbusha heaven on desert lol.
Umbeya kazi, kwa hiyo kajala anachukuliwa na mume wa shamimu? Shamimu kaolewa na mdhungu? Manake nilimuona tu kwenye video anatukanana na sijui mange ama sinta.
Natanguliza samahani[/QUOTE Kongosho peke yangu siwezi kumtetea huyu halalito wetu!ukujeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Last edited by a moderator:
Sorry kama sio wewe basi nimechanganya
nakumbuka uliwahi anzisha thread hapa JF ukitaka wauza madawa wote watajwe
na tusiwaogope wala kuwaonea haya....au sio wewe?

we nae kama huna #team The Boss shauri yako!
ndo uishie kuuza karanga tu!
mujhini hapa mnymwezi wewe ukiwa na team nini sijui team nini hata ufanye kitu gani wapo watakaokufa tu na wewe!
 
Last edited by a moderator:
mimi natokea huku usukumani ndani kabisa. Hizi habari za mjini huwa zinatupita hata hii kompyuta nimefundishwa na mtoto wa mwalimu hapa kijijini:

Hivi mtu anaposema 'team mama mzungu' anamaanisha nini?
Na je 'mume ya blogger' ndo nini?

Halafu kuna mtu kasema 'what goes around comes around'..hapa imekusudiwa nini?
utajicarry!
 
Uwii, nimekumbuka sasa. Umbea kweli kazi. Alietukana ni yule dadake richard benzosijuinini huko. Mwanamke anatapika matusi balaa. Hawa mashosti zako sawa hela wanazo, ila nadhani wana matatizo ya kisaikolojia.

Hahahahaha umenikumbusha lynda.....khaaa mjini kazi ati. ingekuwa kijijini walaaaaaaaaaa mzee fulani anawaita mnaonywa yanaisha....yakizidi mnafukuzwa kijijini.
 
utajicarry!

Hivi na wewe uko timu gani huko mjini. Maana nasikia huko town kila mdada ana timu anayochezea!!
A%20S%20confused.gif
A%20S%20confused.gif
 
Muwacheni dada wa watu na heshima zake. Wivu tu mjini hapa kisa kapata mume tena wa ndoa mwenye mahela yake....(hata kama ya sembe as far as tukienda kununua hakuna alama ya kutofautisha za sembe na zisizo na sembe). Mwaka huu shamimu amewakimbiza na atawakimbiza mbaya haters. Ombeni Mungu na nyie muangukie mihela na sio kuwa na chuki binafsi. Mama endelea na kampeni ya mambo ya kilimo dear MWISHO HATERS WATAKUWA BELIEVERS!!!!!!

Ukweli kabisa dada amewazidi wadada wengi wa mjini kwa utulivu wake, hekima na hana mda wa kipumbavu wa kujibizana kipumbavu....zaidi ya yote Mungu akammwagia mahela hayooooooooooo (hata mkiyatolea sababu kwamba ni ya sembe mbona zenu chafu za umalaya hamzitaji??) na kuwafanya asiwakauke midomoni mwenu. Kweli riziki mwanzo wa chuki. Mama mzungu et al mtahangaika sana dada wa watu yake yanamnyookea.........

Baada ya kelele mingi ooohhh wanatuharibia watoto na vijana wetu mara ohh mdogo wangu anateseka
leo yamekua hayo..
Uliwazuga vizuri watu wa jamii forum we mala nani asiyekujua we na kiblog chako ingekua sio sheria za JF
ningekutaja hadi jina. Haya nenda kakito.. mbeshe tena kwa wauza sembe wako Tuliokutajia humu.
 
Baada ya kelele mingi ooohhh wanatuharibia watoto na vijana wetu mara ohh mdogo wangu anateseka
leo yamekua hayo..
Uliwazuga vizuri watu wa jamii forum we mala nani asiyekujua we na kiblog chako ingekua sio sheria za JF
ningekutaja hadi jina. Haya nenda kakito.. mbeshe tena kwa wauza sembe wako Tuliokutajia humu.


Hunijui wala huwezi kunijua. Ukweli ulishasemwa....Shamimu ana shida gani na mtu?au ni chuki zenu tu? mumewe ni muuzaji basi wekeni ushahidi. Nawe wahi ukaki...to....mbeshe kwa baba/mama yako
 
Hunijui wala huwezi kunijua. Ukweli ulishasemwa....Shamimu ana shida gani na mtu?au ni chuki zenu tu? mumewe ni muuzaji basi wekeni ushahidi. Nawe wahi ukaki...to....mbeshe kwa baba/mama yako

:bored:

Ushahidi kwani vile Vitunguu
 
Mange amegombana na wangapi mjini hapa ukiachana na sintah???je ni shamimu huyo huyo alikuwa anamgombanisha?? Chuki binafsi zake na kwamba jamii imemuona mgomvi anaamua kumbebesha dada wa watu lawama. Mumuwache kwani hata kama kuvunjika kwa ndoa yake ya kwanza yeye sio wa kwanza kuolewa awamu ya 2. Eti anajifanya msafi kumbe mchafu.....kwani mumewe hakuwaona wengine wenye tabia njema au kama nyie kwenu ni wasafi mbona abdul hakumuona mmoja wa nduguzo ila akamuona shamimu?? Ujue Mungu akikubariki lazima waja waibue sababu........Shamimu kama unasoma hapa wewe songa mbele na tafuta fursa zaidi ili uwaue kwa mafanikio yako.....waumie zaidi nyoyo zao.
Shamim ni mwanamke anaeonekana mstaarabu sn ila deep down n mnafiki balaa,nachompendea unafik wake ndo unamsaidia sana,ila nae n wale wale wadada wa mjini waabudio pesa,na kuolewa c ishu sana ishu n unafuraha ktk hyo ndoa?Pesa mnazoziabudu znawatafuna wadada wa mujini!
Na mla cha mwenzie na chake huliwa....kwahyo ukioma umekula cha watu subir wakat wako ufike..ucmtafute mchaw wako
 
Back
Top Bottom