Kajala Masanja, shukrani ya Punda ni mateke

Hata kama asipo mwona haina ulazima kwanza wema anafanyaga mambo yake kwa kutaka sifa ..ndiyo ajifunze hakuna wakumuamini zaidi ya mungu wake pekee
 

Hata hawa wanakula ngada
 
Mm sio shabiki wa wasanii ila kwa hili dar hata mm nimeumia sana hata kama mtu ana makosa ni yake kwenda kumuona ni jbo jingine ila tusiingilie sana maana naweza kuta tayari walishagombana si mnajua Maisha ya wasanii wetu
 


Hivi warumi unamjuwa Kajala au unamsikia tu? Yule demu ni kibaka na kahaba mkubwa tu hapa mjini....hana kazi inayoeleweka ila anaishi kwa uuzaji papuchi ili awekwe mjni. Aache kujiuza ili akamsalimie Wema, nani atamlipia pango la nyumba yake?
 
Lakini nadhani tumesahau kwamba kesi ya Kajala kipindi kile ilikuwa tofauti na hii ambayo mlimbwende Wema anashutumiwa, mi nadhani tungeiacha Jamhuri iamue kwanza nini kitafuata baada ya hapa then tuangalie upepo upande mwingine, tusiwe wepesi wa kuhukumu jamani! Kesi ya madawa si ya kitoto ikilinganishwa na kesi ya kutakatisha fedha kama si utapeli wa nyumba hah hah time will tell!
 
Kwenye Hizo ndio akili za kajala, ni ndogo sana kwakua kamtu kenyew kanaitwa kajala.. angeitwa lijala labda ingesaidia... anauza papuch tuu aliemtoa sero anang'atwa tjj na mbu sero.. .angempelekea tuu hata dawa ya mbu ya kupaka ya mbu ya 2k

Aaaaaggghh .. maisha ya bongo bila unafiki hayaend Hamfrey polepole
 
Wewe umeenda??
 
Nani anapenda matatizo?!

Ukijipendekeza pendekeza wakati kama huu unaweza kushangaa na wewe humo.

Unaenda kumtembelea kituoni unakutana na Makonda anakumbuka kuwa jina lako lilisahulika alafu anakutia ndani
 
Mnh sijui nimekosea njia. Nahisi kama sielewi kinachoendelea hapa.
 
kwa hiyo wewe unataka watu waishi utakavyo wewe na wafanye upendavyo wewe?
 
mange na yeye aje kumuona wema kama anajali kwani marekani ni mbinguni ajitokeze kama mwema sio lawama tu toka atorokee ughaibuni
 
Team Wema mnunulieni boss wenu ex-pel mmemsikia wenyewe analalamika polisi kuna mbu.
 
Team Wema mnunulieni boss wenu ex-pel mmemsikia wenyewe analalamika polisi kuna mbu.

acha ajifunze hata kama wanamsingia dawa itakuwa imemuingia akitoka atawapigia simu wakina k-lyin na miriam odemba wamefanikiwa vipi ku maintain maisha yao na ustaa
 
acha ajifunze hata kama wanamsingia dawa itakuwa imemuingia akitoka atawapigia simu wakina k-lyin na miriam odemba wamefanikiwa vipi ku maintain maisha yao na ustaa
K-lyin na Miriam Odemba hawakumuweka Mange Kimambi kuwa role model wao mkuu.
 
Jambo la aibu sana nikikumbuka jinsi wema alivyojitolea kumlipia kajala pesa ili asiende lupango leo hii sikutegemea awe wa kwanza kumkimbia bibadamu ni sumu we fanya mambo yako mwenyewe siku ziende
Wema na kajala hawaongei siku hizi, sasa from no where Kajala afunge kibwebwe eti aende hapo central kumuwekea dhamana unataka aporomoshewe matusi ya kila aina kutoka kwa wema na mama yake?

Pia million 7 ya kumtoa Kajala gerezani ilitolewa na CK mzee wa kufoji cheque ambaye baadaye walilipana na Kajala wakiwa wawili chumbani na ndiyo chanzo cha ugomvi wa hawa mabinti.
 
Wema mtoto wa diplomat anashobo mkuu, anawaona wenzake wote makalio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…