Kajala Masanja, shukrani ya Punda ni mateke

Kajala Masanja, shukrani ya Punda ni mateke

Hapa sizungumzii punda wauza unga,maana mijitu itaamza kuandika barua hapa,wewe kajala nilikua nakulia Timing tu siku zote hizo ambazo mwenzio kakamatwa kwa shutuma za madawa, nikajua mwenzangu na mimi uta show love pengine hata ya kinafki,eeh warumi mie nikashangaa kuona bibie ndo kwanza huna habare umejibeba mwenyewe na akina lemutuz nyamtumbo hao Arusha mkaenda kula bata,which means ulifurahia mwenzio kupatwa na matatizo,ndio tunajua mna ugomvi bado ila kwenye issue kama hii atleast ungeonyesha kujali walau hata kutoa pole, ushasahau mwenzio aligombana na familia yake kwa ajili yako utoke selo, leo ndo unajifanya unajua starehe,hao akina albert msando cjui huyo mwanasheria mbona hakukusaidia ulipokua jela wkati yeye ni mwanasheria, sasa hivi ndo anajifanya kukujua sana? hakyamungu wewe una matatizo ,umeshindwa hata kwenda polisi kumuona? hata kama angekufukuza lakini umefika umesha play part yako,wewe una experience ya polisi,ungeenda kumtoa hofu na kumfariji mwenzio,ingekua poa sana , na wewe lulu mnafiki sana unajifanya hujui kinachoendelea sasa hivi ila kwenye party za wem hukauki kuuza sura na uanduje wako,mtoto mchawi sna, msisingizie sijui kesi iko polisi mnaogopa kuingilia,kwani mkienda kumuona ina maanisha mna support tuhuma zake? , na wewe wolper c unajifanya shoga ake wema? tena huko china mlikokutana mkajishaua kupiga picha wote kumbe unafiki tu, kwanza na wewe uitwe polisi,kila siku china unaenda kwa kazi gani?kajala Mungu anakuona tena wewe ndo wa kwanza kulaumiwa kuliko mtu mwingine,kweli tenda wema nenda zako.ptuuu
540bf6b8217a539309c82f7c3c27663a.jpg
Wacha kumsema mwenzako wewe polisi umeenda au unasemea hapa kwa mbali, wacha kila mtu abebe mzigo wake pu*ba**
 
Wapuuzi wameshaanza kumlilia roli modo wao,yanajificha kwenye kivuli cha kujifanya yanamsema kajala,kumbe wapo kilioni.
Usifurahie, China walishindwa hiyo vita mpaka wakaamua atakaekamtwa apigwe risasi. Mtumiaji na muuzaji ni vitu viwili tofauti, haya twende.
 
Usifurahie, China walishindwa hiyo vita mpaka wakaamua atakaekamtwa apigwe risasi. Mtumiaji na muuzaji ni vitu viwili tofauti, haya twende.
Kwa sasa sifurahi,lakini ikijulikana ni kweli anauza/anatumia basi si tu nitafurahi,lakini pia nitafanya na sherehe kabisa.
 
Rafiki wa kweli wa wema ni mama yake tu. Wengine wote wapo kimaslahi kwake. Cheki page za timu wema wapo kimya kama sio wenyewe busy na biashara za matangazo.
Vipi huyu shostito nae keshatoa hata pole?
14596658_1844815809100157_1852171270209142784_n.jpg
 
Kwa sasa sifurahi,lakini ikijulikana ni kweli anauza/anatumia basi si tu nitafurahi,lakini pia nitafanya na sherehe kabisa.
Usubilie kwako kunakuja, namnukuu Mch P.Msigwa." Umaskini hauwezi kukutoka kwa kumchukia tajiri"
 
Uko sahihi. Huwa wanatuona maboya kwa hivyo virushwa wanavyopewa na chama cha mapapa. Acha waisome
 
Usubilie kwako kunakuja, namnukuu Mch P.Msigwa." Umaskini hauwezi kukutoka kwa kumchukia tajiri"
Kwanza sichukii tajiri kwa vile na mimi ni tajiri mtarajiwa,lakini nakuapia kama kuna tajiri wa madawa ya kulevya sio tu namchukia,lakini natamani nipate ujasiri wa kumwagia petrol.
 
Back
Top Bottom