Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kuhusu suala la jinsia kawaulize ma mods nadhan watakusaidia mkuu..
mods wa humu hawasiki na personalities za mtu, hivi inakugharimu nini kutaja jinsia yako?
Ila huyo shost angekataa angembaka au? Halafu hakuna mwanaume anaekataa chiu hata siku moja, shost akijipeleka analiwa tu....! Kwa hiyo ukiona shoga ako kakuchukulia bwana ujue alidhamiria.
Ndo mana naupenda ule wimbo wa marehemu Issa Matona anakwambia Ndugu zako wakaribishe chumbani, mashemeji sema nao barazani, mashoga sema nao dirishani.....!
Hatukatai Wema malaya lakini kwa hili kajala kazidi, yaani kabisaaa kaenda kutembea na mtu alotembea na shoga ake...ptuuuu!
Inatia kinyaa kuchovywa na mtu alomchovya shoga ake, tena shoga wa kupika na kupakua....loh.
Ushoga wa mjini kweli mgumu....ndo mana mimi mpenzi wangu namuweka mbali na mashost.
Ni Me una lingine ulizaaq
Wapo wanaume wanaojiheshimu na wanakwepa hata uchi una machungwaas hawatakii ambao hawajatulia kama Clement ndio hiyo hata mama yako anapita nae halaf jamaa naskia kwa tigo ni hatareeee
Kwa taarifa yenu wema na kajala wanasheag wanaume wengi tu wenye mikwanja yao , wema akimchoka buzi anampasia shoga yake alichune , nyie si mmebahatika tu kumjua Clement ndo maana mapovu yanawatoka , inshort hyo ndo kazi inayowaweka mjini.
Na huyo wema ni kuwad mkubwa tu , uwa anawauza watoto wa mujini kwa wanaume ambao anajua si wa hadhi ya kutembea naye. Wote hao kazi zao ni kuchuna mabuzi apa mjin hakuna aliye na unafuu
Ila wewe ndo unahusika na personality za watu humu??
Nitakuwa wa mwisho kuamini.
kama ni me basi ni wale wakwanguwa kucha za wanawake na kuwaosha miguu kwenye salon.
Wema , kajala na najma washatatuliwa sana malinda na clement , we unafikir mtu akuhonge magar kwa ajil ya k tu?? Hyo sio ya kusema umulike na torch
Wee mwenzio ana ofis yakeee na kaajili watu
wewe unayo??
We humuon kaka yetu Chibu kawala kina Wolper, Uwoya, Kidoti na hata baskeli hajawanunulia.......hahahaaaa.
Halafu ladha ya K ile ile, washamba tu ndo wanahonga magari.
hata mashoga wana ofisi pia.