Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli waafaziraka wapundaka, na ukitaka kufadhili bora umfadhili mbuzi,maana binadamu hatakuudhi....
ndo mana waambiwa tenda wema ucngoje shukurani Mungu ndo hulipia toa kama msaada then sepa ukitaka mtu akushukuru binadamu tunasahau
Mamito upoo weye?!
Ck ni ajira.....sasa kajala kapata kazi aiache???wote hao ma bongo movies wanaishi kwa mtindo huo huo.Huyo wema atulie tu na huyo mtoto wa tandale.
Ck ni ajira.....sasa kajala kapata kazi aiache???wote hao ma bongo movies wanaishi kwa mtindo huo huo.Huyo wema atulie tu na huyo mtoto wa tandale.
Kabisaaa , yeye wema asihuzunike fungu analo kwa mungu , sasa na yeye kajala ahakikishe kaka clement nyumba anamjengea , yasije yakamshinda kama wema.
Kajala asisikilize watu aendelee kukamua , wengine wanatoa mapovu roho zinawauma kapata bonge la bwana aka kaka clement , maana siku izi kajala safar za dubai na china kama anaenda location vile .
Huyu kajala sindio alilipiwa Na wema faini ya milioni kumi na mumewe alifungwa sababu ya nyoso. Sasa kaamua kumsaliti mumewe kikweli. Kweli wanawake mashetwani hawana hata huruma tamaa tu imewazidi
Nitasema kweli daima
Mtu mwenyew kibajaji halafu unataka kupita njia kuu? Njia kuu aiachie mifuso , kuchepuka ndo habar ya mujini , kasalitiwa yesu sembuse wema ???
Nipo my...nimekukosaa
Mtu mwenyew kibajaji halafu unataka kupita njia kuu? Njia kuu aiachie mifuso , kuchepuka ndo habar ya mujini , kasalitiwa yesu sembuse wema ???
Sasa c bora kajala anapata midolali, wamuachwee, asiyetak hela nan kwanza??
Shangaaa we kiaZ nikisema mi muhogo eti nna miziziiii loklll
Kwanza tuongee ukweli , dunia ya sasa iv asiyetaka hela Nani?? , watu wanamuonea wivu kajala , maana sasa ivi anamilik magar mawili , Toyota Lexus kama ile ya kaka Clement aliyomuachia wema la pink na Toyota brevis , chezea kajala wewe
Wacha weeeee sasa hapo mama ubayaa alitaka awe anampa lift daily, na nyumba anaishi wapii
Apo chacha atulie na mtoto wa kwa mtogole amuache kajal ajilie vyake , au ndo Yale ya banian mbaya kiatu chake dawa?.