Basi wametusaidia kutufikishia ujumbe uko , ivi Uzi wa ommy dimpoz umefutw? Nilikuwa nataka Ku comment wanasema siruhusiw , maana watu wamempa vichambo vya haja , Mimi nae sio mtu mzuri aaah aaaah
Wangetuacha kidog maana kuna umbea wake nilisahau kuutoa , yaan bado nipo nae ntafungua Uzi wake mwingine tu
Nimepata nong'ono mama kibunju , hihiiii yani PM yangu imejaa maubuyu had mimi mwenyew naiogopaa
Soon nakupandia pm binamu , Mimi na wewe tena?
Nimepata nong'ono mama kibunju , hihiiii yani PM yangu imejaa maubuyu had mimi mwenyew naiogopaa
Nimepata nong'ono mama kibunju , hihiiii yani PM yangu imejaa maubuyu had mimi mwenyew naiogopaa
Hongera zake.Shamim kitu kimetiki kajifungua baby boy..................................
Congrats kwake