Shamim kitu kimetiki kajifungua baby boy..................................
Congrats kwake
Sasa wema ana wivu gani wakat alishaachana na clement..
Halafu kumbe kajala yupo zake china anakula bata , watu uku bongo mapovu yanawatoka , dah maisha bwana , nasikia wema anahojiwa east Africa TV , ebu angalia maana Mimi nipo kwa mishe now , halaf utanipa maubuyu
Hadi nikajiuliza hawa ni akina Dinazarde na qn of sheba nn? Maana hii ni copy paste , safi sana kama ujumbe ulifika
Hongera zake, Mola amkuzie dume lake Inshaallah