Kajala na Clement Mambo Hadharani

Atakua kaota suguu kwenye K

Binamu unajua Clement hana timu ?? Ngoja tumuundie timu na mm ndo mwenye kiti , naona watu wanamzonga sana.

Haya kwanzia sasa ivi wema arudishe gari letu la pink haraka iwezekanavyo lile harrier Lexus , kama kweli hamtak kaka yetu , lasi hivyo tutaendelea kumla kipwapwiso

Boss clement tumpigie simu yule Jamaa wa TRA akalikamate gari la wema linadaiwa pesa nyingi , boss tumfanyie kama tulivyofanya kwenye ile Audi q7. Popote tutakampo muona wema boss Kasema arudishe gari haraka iwezekanavyo
 

We ulitaka Usalama wa taifa wa dili na maisha binafsi ya mtu? Mbona ww unabeba serengeti girls hujisemi au hujawahi kwenda kujisalimisha police post?
Ngoja Ck afaidi hayo mavitu inawezekana aliruka steji.
 

Kwi kwi kwi hihi 😀 kipwapwiso ndiyo k ? 😉
 

Hahhhhahhhhhahhhhahhha uwiiiii Wema rudisha garii la Clement banaa daimond nae akununulieee ye anasugua buree banaaa kulala alalie kitanda cha mwingineer anunue nae si mwanaumeee wema rudishaa gariiii hilo
 
Kwani kuna ushaidi gani hapa kuwa kajala anatoka na clement? mbona ni uzushi ule ule tu nauona hapa..
 

Ahahahahaaaa anafanya usalama kwenye k za dadaz.
 

mwanaume yeyote anayemnyang'anya demu vitu alivyompa baada ya utamu ni mshamba tu, hebu na yeye arudishe utamu alioupata kwa wema ili waexchange deal.

ushamba mzigo kwelikweli.
 
Hahhhhahhhhhahhhhahhha uwiiiii Wema rudisha garii la Clement banaa daimond nae akununulieee ye anasugua buree banaaa kulala alalie kitanda cha mwingineer anunue nae si mwanaumeee wema rudishaa gariiii hilo

Rudishaa gari hlooooo, ndomo mnunulie mama ubaya gar sio umekazana tu kula kupwapiso , tunakupa wiki mbili tunataka gari letu la pink , kama vp umnunulie ata bajaj ila gari letu tunalitaka wenyewe , rudisha gari
 
kwani kuna ushaidi gani hapa kuwa kajala anatoka na clement? mbona ni uzushi ule ule tu nauona hapa..

Kuna message zimekutwa za kajala kwenye cmu ya ck , sasa hawala wake mwingine anaitwa najma ndo kazisambaza zimeenea sana kule instagram na namba za simu za kajala zipo kwenye hzo message , inshort kajala .
 
mwanaume yeyote anayemnyang'anya demu vitu alivyompa baada ya utamu ni mshamba tu, hebu na yeye arudishe utamu alioupata kwa wema ili waexchange deal.

ushamba mzigo kwelikweli.

Kwani utamu clement hakumpa?? Basi na yeye amrudishie mautamu yake , wote wamepeana mautamu . Hvo vitu alivyomnunulia ni naksh tu ya mapenz , kama kaamua kurud kwa ndomo kweli arudishe gari amwambie diamond amnunulie lake jipyaaa
 
mwanaume yeyote anayemnyang'anya demu vitu alivyompa baada ya utamu ni mshamba tu, hebu na yeye arudishe utamu alioupata kwa wema ili waexchange deal.

ushamba mzigo kwelikweli.

Kwan Clement alikua anampa uchunguuu si utamuuuu huo huo na maisha kamtengenezeaa Wemaaa,huyo domo ni mwanaume suruali tu,acheni Kajala ale vitu banaa ni zamu yake huyo Ck hana hatimiliki na Wemaaaa
 

Umeona gari letu binamu?? Aturudishie , tena akileta ujinga tutamlipisha na Yale madola kaka yetu aliyotumia kumbadilisha ngozi kule china, yaan alikuwa amepauka kaka yetu kamsitir apa mjini halaf analet ujinga , na hvo vifaa anavyotumia kwenye kipindi chake cha my shoes ni vya kaka Clement.

tunampa diamond mwez awe amemnunulia mama ubaya gari na vifaa vya kampuni naona tumekaa kimya wanatuona mafala , tutazid kuwakumbusha had waturudishie vitu vyetu. Sio kaz kugegedana tu had kamnyoa kipar wakat Clement alikuwa anamnunulia les wigi za mil 7 kutoka marekan
 

Attachments

  • 1399442381316.jpg
    15.7 KB · Views: 687
Angekuwa angalau na uchumba na Wema sawa ila hawara Kajala jilie vyako mwaya
 
Kwan Clement alikua anampa uchunguuu si utamuuuu huo huo na maisha kamtengenezeaa Wemaaa,huyo domo ni mwanaume suruali tu,acheni Kajala ale vitu banaa ni zamu yake huyo Ck hana hatimiliki na Wemaaaa

Toka azaliwe wema hajawah kuishi maisha ya kifahari kama aliyompa kaka yetu clement , toka azaliwe alishawah kumiliki Audi q7 yule ?? , vitu vyote vya thaman kavipata kwa clement

Hata hko kipindi chake vifaa anavyotumia wema alinunua Clement , in short clement ndo alikuwa jembe kwa wema , toka wema azaliwe alishawah kukodi ndege binafsi kwenda mkoa wowote?? Na yule omotola unadhan Nani alimleta bongo?
 
Angekuwa angalau na uchumba na Wema sawa ila hawara Kajala jilie vyako mwaya

Kajalaaa banaa huyo clement anunue hadi nyumba ikibidiii mzalie mtotoooooo ikibidii funga nae ndoaaaa kwanza unalipaa shepu sio la mchinaa watakukomajeeee hujawah chibuaa hata kidolee hunuki K kama wengineee halaf kwa hasiraa mrudishiee hizo milion 13 huyo Wemaa maana siku anazisikiaa tuuu akutuee alitala akugeuze zombiee kachemkaaaa hakulazimishwaa kutoaa pesaaa wakuwaaaacheeeeeee kula pesa za babaa anaejua kutunzaaa sio domoo kakaaliaa kubana pua tu na kupenda k za bureee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…