strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Kajalaaa banaa huyo clement anunue hadi nyumba ikibidiii mzalie mtotoooooo ikibidii funga nae ndoaaaa kwanza unalipaa shepu sio la mchinaa watakukomajeeee hujawah chibuaa hata kidolee hunuki K kama wengineee halaf kwa hasiraa mrudishiee hizo milion 13 huyo Wemaa maana siku anazisikiaa tuuu akutuee alitala akugeuze zombiee kachemkaaaa hakulazimishwaa kutoaa pesaaa wakuwaaaacheeeeeee kula pesa za babaa anaejua kutunzaaa sio domoo kakaaliaa kubana pua tu na kupenda k za bureee
Umeona gari letu binamu?? Aturudishie , tena akileta ujinga tutamlipisha na Yale madola kaka yetu aliyotumia kumbadilisha ngozi kule china, yaan alikuwa amepauka kaka yetu kamsitir apa mjini halaf analet ujinga , na hvo vifaa anavyotumia kwenye kipindi chake cha my shoes ni vya kaka Clement.
tunampa diamond mwez awe amemnunulia mama ubaya gari na vifaa vya kampuni naona tumekaa kimya wanatuona mafala , tutazid kuwakumbusha had waturudishie vitu vyetu. Sio kaz kugegedana tu had kamnyoa kipar wakat Clement alikuwa anamnunulia les wigi za mil 7 kutoka marekan
ile interview ilinisikitisha sana
Angekuwa angalau na uchumba na Wema sawa ila hawara Kajala jilie vyako mwaya
Mfadhili mbuzi tu, baadae utamnywa supu ujilie na chapati....
Asingekua Clement sasa hiv asingepita juanii ng'ooooooo mbona ye Clement hajataka amgeuze zombieeee Kajala gooooooooooi live ur life mamaaaa acha watesekee domo nae dudu mkononi akipenda muonjeshe maana habagui ladhaaaa hureeeeeeeeeeeeeeeweew ukipenda mwanaume wa peke yako mzae mwenyewee
Kasoro wanguu tuuu ndio hatimiliki nnayoooo hahhhhaaaa
Watu waache kumzonga kajala, muache ajilie vyake , nani asiyejua kuwa clement ni buzi?? Watu wapo kwa kaka clement ki maslah nasikia kaka anamjengea mjengo wa adabu kajal uko mbwen
Asingekua Clement sasa hiv asingepita juanii ng'ooooooo mbona ye Clement hajataka amgeuze zombieeee Kajala gooooooooooi live ur life mamaaaa acha watesekee domo nae dudu mkononi akipenda muonjeshe maana habagui ladhaaaa hureeeeeeeeeeeeeeeweew ukipenda mwanaume wa peke yako mzae mwenyewee
Kasoro wanguu tuuu ndio hatimiliki nnayoooo hahhhhaaaa
Binamu unajua had wafanyakaz wa kampuni ya kaka clement ile ya endless fame walikuwa wanamlalamikia wema kurudiana na diamond ?? Walisema diamond hana ubavu wa kuwalipa wafanyakaz wote na kuifanya kampuni iwe hai kama ilivyokuwa kwa kaka Clement , yaani huwez amini wafanyakaz wamefukuzwa kaz , wema kawadanganya atawaruidisha ngoma had Leo kimya, sasa ivi nyumba anayokaa wema ukuti watu kama zaman , maana zaman shereh kila kukicha , na ivi c unajua ile nyumba kashafukuzwa eeh??
Kajala atumie fursa effective mambo yake yamnyokee hata biashara hata wakimtukana hamna tusi jipya wala acjali tena ahakikishe nyumba imekamilika vzur Kajala goooo
Hata Prezidaa Kilazaa alisema tutumie Fursa inapopatikanaaa so Kajala uchumi anaoo kwanini aukalishee tu mwisho wa siku akifaa uliwe na nyenyere wakati watumiaji na watunzaji wapoooo hureeeeeeeeeeer KAJALA KULA VITU UMASIKIN TUMEZALIWA NAO UKIFA NAO UMEJITAKIAAAAAA
Ndio hivyooi Clement cha wote,wema cha wote ,dai cha wote .wamuache kajalaa mwenye hatimiliki ya Clement ni mama yakee tuu wengine ni wawekezajiiiii
Zamani watu walikua wanajaa kula au kufanyajee kisa mapene yalikuwepooo ninii domo bahili sijapataa achana na mwanaume Clement weweee anajua kutumia pesa hadi watu wanachanganyikiwaaa,nipe umbeya wa nyumbaaaaa mbona hatokiiiiiimoooooo banaa Clement anamcheleweshaaaaa
We differ kwakweli, kwenye hili sina ushabiki
ila mi kama mi mwanaume ambae alikuwa na rafiki angu siwezi kumkaribia
hata kama weachana kwa ngumi na mateke, hata kama mi na shost angu ushost umekufa
mwanaume ambae alishawahi kuwa nae no plzzzz
Ivi sikukupa umbea?? Mbona kashahama kwenye ile nyumba yetu? Mbona kitambo sana binamu ?? Wee angalia kile kipindi cha wema ile episode ya peti aliyokula pesa umuone martin wakat anangia ndan na funcargo , ukiangalia mandhari ya nje utaona ni tofauti na lile hekalu tulilompangia kule mwananyamala.
Watu wengi wanachanginyikiwa na kujua ni nyumba ile ile kwa kuwa decorations za ukutan ni sawa na za ile ya nyumba yetu tuliyompangia, Yale ni makaratas wanabandikag ukutan yana act kama rangi , na vitu vya thaman tulimwachia ndo maana mapambo ya ndani yanafanana na ile nyumba yetu. Tulishamfukuza zaman mbona.
We differ kwakweli, kwenye hili sina ushabiki
ila mi kama mi mwanaume ambae alikuwa na rafiki angu siwezi kumkaribia
hata kama weachana kwa ngumi na mateke, hata kama mi na shost angu ushost umekufa
mwanaume ambae alishawahi kuwa nae no plzzzz
Heeee kumbe ashatolewaaa sikujuaa ndio maana nyumba imekua tofautiiiii uwiiiiiii ndio hio kapangishiwa na Domoooo au!!
Ni kweliii usemayoo lakini kwa hili la Wemaa Hapana yeye mwenye k mkononiii ndio maana namteteaa Kajalaa,angalia na Kwa Wemaa ,wema angekua katulia tungesema kaonewaa kumbukaaa ukiiba lazimaa uibiweeeee