Mimi namkubali sana Kajala(kwa uzuri)
Ila huo umalaya anaofanya ndo tatizo...
Sio kaz kugegedana tu had kamnyoa kipar wakat Clement alikuwa anamnunulia les wigi za mil 7 kutoka marekan
Mie mwenyewe mwanaume akijileta kwangu namchuna tu
Umenichekesha sana warumi, ukute anamsifia akiwa na upara anapendeza kumbe moyoni anamshukuru shetani garama za mawigi zimempitia mbalii
Bora Wema hajaolewa,ujue Kajala ni mke wa mtu tena ndoa ya kanisaniHata wema tunamkubali pia mzuri ila umalaya anaoufanyaa sasaaa ndio tatizoo
Bora Wema hajaolewa,ujue Kajala ni mke wa mtu tena ndoa ya kanisani
Tatizo ni kuwa ukute huyo clement halali anawaza atamrudishaje Wema himayani.......Sasa Kesho K akibwagwa,sipati picha TeamWema..........Pia Kuchukua Mwanaume Wa Shoga Yako Ni Mbaya...Haina Justification.....Hata kama yeye aiiba,yeye bado ni shemeji yake maana amemjua kama mtu wa shosty wake....Halafu hata huyo uliyemchukulia awe na mapungufu gani,Utaonekana Kidampa tu...The Rebound Girl...Halafu kuna muda hawa madada wawe wanatumia vichwa vyao na sio vya wapambe nuksi....
safi sana binamu , hiki ndicho watu wanachomlalamikia kajala kwa nini atembee na mtu aliyetoka na wema ??, ila nikukumbushe tu , Clement sio Mali ya wema , ata yeye alikosea sana kutembea na Clement wakat anajua ni mume wa mtu , kimsingi wema, kajala na najma ni michepuko tu , mwenye Mali halal katulia zake anaangalia tu wanavyopapatika na mume wake. Watu hawana mamlaka ya kumhukumu kajala , hata ungekuwa wewe ungefanya kama kajala , pesa ina nguvu sana , sidhan kama mwanamke yeyote mwenye njaa angemuache clement apite ivi iv .
Ni kweliii usemayoo lakini kwa hili la Wemaa Hapana yeye mwenye k mkononiii ndio maana namteteaa Kajalaa,angalia na Kwa Wemaa ,wema angekua katulia tungesema kaonewaa kumbukaaa ukiiba lazimaa uibiweeeee
Hata wema tunamkubali pia mzuri ila umalaya anaoufanyaa sasaaa ndio tatizoo
point ipo hapo hapo hata kama wema alikuwa ni mchepuko
huyo clement ni mchepuko wa rafiki ake na itabaki hivo daima na milele
haipendezi kutembea nae, afu nilisoma mahali kuwa clement aliishaachana na mkewe
mke alichoka na tabia za mme wake
Mbona Penny na Wema walikuwa mabest sana kabla kajala ajatoka Segerea... Mbona alipompora Diamond hawakumsema kuwa kamwibia bwana shoga ake.
Wema msagaji mkongwe,walikua wanasagana na huyo kajala
point ipo hapo hapo hata kama wema alikuwa ni mchepuko
huyo clement ni mchepuko wa rafiki ake na itabaki hivo daima na milele
haipendezi kutembea nae, afu nilisoma mahali kuwa clement aliishaachana na mkewe
mke alichoka na tabia za mme wake
Clement na mkewe walishaachana na huyo mke kazaa na mkaka wa kiarabu, mke naye mcharuko fulani town.
Wema msimuone vile anaumia sana kuhusu CK alizoea kutapanya hela hovyo, akiingia salon sihitaji hapa, zinaenda kununuliwa Moet za bila idadi basi tu watu wanywe pale hela za CK zipo.
Now hela zile za kuchezea kwa Dai hakuna, show off za kipindi kile hazifanyiki, alishazoea hayo kwa hela ya mwanaume.
Kajala yeye ale yakimkuta ya Penny awe kafanya ya maana, siyo kwenda China kuspend itakula kwake. Hakuna mwanaume anayeibwa wote wizi.
Kwani utamu clement hakumpa?? Basi na yeye amrudishie mautamu yake , wote wamepeana mautamu . Hvo vitu alivyomnunulia ni naksh tu ya mapenz , kama kaamua kurud kwa ndomo kweli arudishe gari amwambie diamond amnunulie lake jipyaaa