Kajala na Clement Mambo Hadharani

Kajala na Clement Mambo Hadharani

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Sikupatii picha kajala jinsi unavyozimia uko ulipo , maana hii ni aibu kubwa sana imekupata. Binafsi nilivyoangalia kwenye kipindi cha Zamaradi jinsi unavyojitetea na kukana hadharani kutomjua kabisa Clement , na ukalia kwa uchungu sana jinsi unavyotukanwa na team Wema uko instagram kwa kitendo ambacho ujakifanya kama ulivyodai, watu wengi walikuhurumia , kumbe wewe ni fisi uliyejivika ngozi ya kondoo.

Hii ni aibu sana especially kwa familia yako na mtoto wako Paula ambaye alikuwa akiumizwa na matusi uliyokuwa ukitukanwa, ni vizuri ukajipanga upya , kwa sababu watu wameshajua ukweli kuhusu bifu lako na wema, nadhani ule msemo usemwao lisemwalo lipo kama halipo laja leo limetimia kwako
maisha ni kuishi na kujifunza. Kajala umemkosea sana Wema pamoja na mashabiki ni vyema kama ungeomba msamaha kwa Wema pamoja na watanzania especially mashabiki wako.

TEAM WEMA
Hongereni sana kwa kazi nzuri mliyoifanya , maana ni mda mrefu hizi tetesi zilizagaa hakuna aliyejua ukweli wa bifu la kajala na wema , hongereni sana kwa kufichua uovu . Tumeshajua kajala ni mkosefu

Pili , Hakuna asiyejua kama Clement ni mume wa mtu , kwa nini huyo Clement mnapenda kumhalalisha kuwa ni mtu wa Wema wakati wote tunajua Wema alikuwa mchepuko kama Kajala? Clement si ana mke na familia?

Tatu , Wema mwenyewe alishakiri kuwa anampenda Diamond na Cement alishaachana nae ndo maana mpaka sasa hivi yupo na diamond , sasa nyie hamueleweki kwa Clement mpo kwa Diamond mpo. Clement anawahusu nini nyie? Nyie si mnapenda Wema awe na Diamond? Sasa nini tatizo?

Nne , Clement hakuwahi kumuoa Wema kwa ndoa yeyote , Wema alikuwa hawara tu kama ilivyokuwa kwa Kajala na Najma , so kati ya hao wote watatu hakuna mwenye haki na Clement , nadhani mke wake atakuwa anawashangaa sana mnavyoshabikia mume wake kuwa ni wa Wema.

Tano , muacheni baba wa watu aendelee kula vipwapwiso wenyewe si wana tamaa bwana na maisha mazuri ? Bongo movie nzima kuna mauchafu yamejaa bahati mbaya tu ya Kajala yamefichuka.

Sidhani kama mna haki ya kumhukumu kiasi hicho Kajala kutembea na Clement, kwani yule hakuwa mume wa Wema , japokuwa aliwahi kuwa na mahusiano nae japokuwa Kajala kafanya vibaya.
 

Attachments

  • 1399402977455.jpg
    1399402977455.jpg
    34.5 KB · Views: 3,976
makubwa madogo yana nafuu au ndio ile kutesa kwa zamu au ndio ile ukiwa kwenye daladala ukishuka ana panda mwingne Bongo movie bwana kuchukuliana mabwana tu hawaogopi magonjwa njaa mbaya fanyeni kazi cio kushare wanaume ili kupata hela
 
makubwa madogo yana nafuu au ndio ile kutesa kwa zamu au ndio ile ukiwa kwenye daladala ukishuka ana panda mwingne Bongo movie bwana kuchukuliana mabwana tu hawaogopi magonjwa njaa mbaya fanyeni kazi cio kushare wanaume ili kupata hela

bongo movie hao wanaume wenyew wanachukuliana wanaume mi naona bora hawa Dada zetu , ila kajala nuksi kudadek , machoz yote Yale kumbe unafiki
 
Kajalaa kulaa dadaa ni zamu yakoo huyo Wema hajamuumba Ck hata ukipata nafasi pitia daai mbona wema ye ni pitia pitiaaa khaaaaas
 
Kajalaa kulaa dadaa ni zamu yakoo huyo Wema hajamuumba Ck hata ukipata nafasi pitia daai mbona wema ye ni pitia pitiaaa khaaaaas

atumie fursa yake vzuri walikutana wote mjini na meno thelathin na mbili amkomeshe na kwa Dai
 
kinachonishangaza mimi huyu clement siyo mfanyabiashara bali ni mtumishi wa serikali tena ikulu! mpuuzi mkubwa sana huyu.

mitaani watoto bomba wa kumwaga jitu kubwa zima mpaka leo linaona ni ujanja na sifa kukaa uchi na watoto wa bongo movie.

idara ya usalama wa taifa iko rikizo

Mara wa Airpot, mara wa Ikuluuu duuuu acheni Kajala afaidiii wemaa katoswaaa kuleee hahhhhhahgha
 
Mara wa Airpot, mara wa Ikuluuu duuuu acheni Kajala afaidiii wemaa katoswaaa kuleee hahhhhhahgha

kama ni wa airport siku si nyingi atavaa pingu napaelewa vizuri airport na wapigaji wa pale naijuwa network yao take my word.
 
W
shouger wema Ndo alimuacha clemeee baba kaliaaaaaa kuombq utamu usikatishwe. Alivyoona wema kagoma Ndo kwa hasira akamnyang'anya vifaa vya ofisi akaona bado haitoshi kumkomoa zaidi Ndo akaamua kutoka na shogaze

No alimuacha baada ya kurudiana na domoo halaf uliisikiaa ya Wema kumtumia sms Ck amkope milion kumii
Haya dai ashanunua viifaaa maskiniii
 
No alimuacha baada ya kurudiana na domoo halaf uliisikiaa ya Wema kumtumia sms Ck amkope milion kumii
Haya dai ashanunua viifaaa maskiniii

Sasa hapo si Ina maaana cleme Ndo kaachwa kwanza. Hlo la milioni ni uongo tu Mbona hawajaleta ushahidi km hili la kajala? Kuhusu vifaa as far as wema yko happy yeye hajali...
 
Mkewe anawashangaaa.....adui muombee njaa!!!

Tena sana yaan mume wa mwingine eti watu wanalalamika kajala kamchukulia wema wakat wote wezi japokuw wizi wa kajala umekithir , mke wa clement kazi anayo , wamuache Clement awakamue sana tu c tamaa wanaziendekeza
 
Kajalaa kulaa dadaa ni zamu yakoo huyo Wema hajamuumba Ck hata ukipata nafasi pitia daai mbona wema ye ni pitia pitiaaa khaaaaas

Nini kumuumba?? Ata pete ya uchumba ya kuzugia kama ya diamond aliyomvisha wema kule club clement hajawah kumvalisha , sasa watu wanalalamika kajal kamchukua mpenz wa wema wakat yy yupo na diamond wanakula bata , clement c ana mke yule?? Mbona mwenye mume kanyamaza?? , sema kajala kaumbuliwa kwa ajili ya unafki wake
 
Kajala USO wa mbuzi dadek

Mnafiki sana yule yaan bora asingejichoresha kwa zamaradi, ila c alimbeba clement wakat wameachana na wema?? Ki upande mwingine k hana makosa sababu wote walikuwa kwa ck kimaslah zaid , labda angemsalit kwa diamond apo ndo ingekuw shughuli
 
Mara wa Airpot, mara wa Ikuluuu duuuu acheni Kajala afaidiii wemaa katoswaaa kuleee hahhhhhahgha

Waaache maana wote wapo kimaslahi as long madame yupo na chibu na wanapendana na mambo yapo fresh , hayo ya ck wayaache kwanza wema mwenyew hana mda na clement yupo zake na chibu
 
W
shouger wema Ndo alimuacha clemeee baba kaliaaaaaa kuombq utamu usikatishwe. Alivyoona wema kagoma Ndo kwa hasira akamnyang'anya vifaa vya ofisi akaona bado haitoshi kumkomoa zaidi Ndo akaamua kutoka na shogaze

Sidhani kama kuna mwanamke kutoka bongo movie mwenye ubavu wa kuchomoa kwa yule clement labda akina rihhana uko majuu, coz yeye ndo aliyemfanya wema aonekane mtu kwa kias flan maana kuna kipindi wema alikuwa haelewek anaish wapi ,japokuwa kwao ni Sinza ,kuna kipindi wema alipigika aiseeh had umaaruf ukafifia Jacky ndo akawa habar ya mujini, had nakumbuka wolper alimchambaga wema kuwa aende kwake akamchezeshe filamu akanunue godor na yeye wema aonekane anapoishi , hiyo kauli ilimliza sana wema hadi mama yake akaingilia kati na kumchamba wolper kwenye TV , ndipo tokea apo baada ya muda mfupi wema akawa ana mkwanj ghafla ndo kwa Mara ya kwanza wema akaanza kuonekana anapoish.

Maisha mazuri kujumuisha na kuendesha magari ya thamani wema aliyapata kwa ck , Jamaa alimsafisha wema jina lake likazid kung'aa hadi akadanganya watu kuwa ile nyumba ya kwake , safar za ulaya zikawa aziishi source wa yote clement.

Clement nasikia alisikia tetesi kuwa diamond analalaga kwake (kwenye nyumba aliyompangishia wema) , ikaenda had badae alipokuja kugundua hiyo ishu ni kweli fasta bibie akaachwa tena marafik zake ndo waliomchongea. Bibie akapokonywa kila kitu.
 
No alimuacha baada ya kurudiana na domoo halaf uliisikiaa ya Wema kumtumia sms Ck amkope milion kumii
Haya dai ashanunua viifaaa maskiniii

Clement akamwambia aombe msamaha kwenye media ndipo atakapokubal kumsamehe , Sijui bibie sharti lilimshinda.

Yah kuna kipindi wema alijitapa baada ya kupokonywa vitu na ck kuwa ndomo atamnunulia baada ya wiki mbili , cha ajabu had kesho hakuna cha kifaa wala nn , na unajua binamu lile gari analolitumia wema la pink ni la clement?? , tuandamane na sisi clement ampokonye had gari , kwani ndomo anashindwa kumnunulia wema gari ?? Si amnunulie hat vits new model ?? , arudishe gari hlo kama kweli anampenda ndomo ,dah kweli ndomo nuksi , tusubir labda atamnunulia sasa iv baad ya kushinda tuzo saba
 
Back
Top Bottom