Kajala na Clement Mambo Hadharani

Kajala na Clement Mambo Hadharani

Sikupatii picha kajala jinsi unavyozimia uko ulipo , maana hii ni aibu kubwa sana imekupata. Binafsi nilivyoangalia kwenye kipindi cha Zamaradi jinsi unavyojitetea na kukana hadharani kutomjua kabisa Clement , na ukalia kwa uchungu sana jinsi unavyotukanwa na team Wema uko instagram kwa kitendo ambacho ujakifanya kama ulivyodai, watu wengi walikuhurumia , kumbe wewe ni fisi uliyejivika ngozi ya kondoo.

Hii ni aibu sana especially kwa familia yako na mtoto wako Paula ambaye alikuwa akiumizwa na matusi uliyokuwa ukitukanwa, ni vizuri ukajipanga upya , kwa sababu watu wameshajua ukweli kuhusu bifu lako na wema, nadhani ule msemo usemwao lisemwalo lipo kama halipo laja leo limetimia kwako
maisha ni kuishi na kujifunza. Kajala umemkosea sana Wema pamoja na mashabiki ni vyema kama ungeomba msamaha kwa Wema pamoja na watanzania especially mashabiki wako.

TEAM WEMA
Hongereni sana kwa kazi nzuri mliyoifanya , maana ni mda mrefu hizi tetesi zilizagaa hakuna aliyejua ukweli wa bifu la kajala na wema , hongereni sana kwa kufichua uovu . Tumeshajua kajala ni mkosefu

Pili , Hakuna asiyejua kama Clement ni mume wa mtu , kwa nini huyo Clement mnapenda kumhalalisha kuwa ni mtu wa Wema wakati wote tunajua Wema alikuwa mchepuko kama Kajala? Clement si ana mke na familia?

Tatu , Wema mwenyewe alishakiri kuwa anampenda Diamond na Cement alishaachana nae ndo maana mpaka sasa hivi yupo na diamond , sasa nyie hamueleweki kwa Clement mpo kwa Diamond mpo. Clement anawahusu nini nyie? Nyie si mnapenda Wema awe na Diamond? Sasa nini tatizo?

Nne , Clement hakuwahi kumuoa Wema kwa ndoa yeyote , Wema alikuwa hawara tu kama ilivyokuwa kwa Kajala na Najma , so kati ya hao wote watatu hakuna mwenye haki na Clement , nadhani mke wake atakuwa anawashangaa sana mnavyoshabikia mume wake kuwa ni wa Wema.

Tano , muacheni baba wa watu aendelee kula vipwapwiso wenyewe si wana tamaa bwana na maisha mazuri ? Bongo movie nzima kuna mauchafu yamejaa bahati mbaya tu ya Kajala yamefichuka.

Sidhani kama mna haki ya kumhukumu kiasi hicho Kajala kutembea na Clement, kwani yule hakuwa mume wa Wema , japokuwa aliwahi kuwa na mahusiano nae japokuwa Kajala kafanya vibaya.

Kuna moja ngoja niitafute ina sms za kajala wanachat na ck ina hadi namba za cm
 
Kajalaaa banaa huyo clement anunue hadi nyumba ikibidiii mzalie mtotoooooo ikibidii funga nae ndoaaaa kwanza unalipaa shepu sio la mchinaa watakukomajeeee hujawah chibuaa hata kidolee hunuki K kama wengineee halaf kwa hasiraa mrudishiee hizo milion 13 huyo Wemaa maana siku anazisikiaa tuuu akutuee alitala akugeuze zombiee kachemkaaaa hakulazimishwaa kutoaa pesaaa wakuwaaaacheeeeeee kula pesa za babaa anaejua kutunzaaa sio domoo kakaaliaa kubana pua tu na kupenda k za bureee

Mmmh Dada Dina una maneno makali aisee. Kitendo cha kumrdishia hiyo pesa si cha kiungwana kabisa. Hiyo pesa aliitoa kwa mapenzi yake kwa rafiki yake. Akisema azirudishe leo watu watauliza mbona hakuweza kujidhamini wakati ule?!!

Wema wakati anatoa pesa hiyo si ni nyinyi ndo mlimpongeza kwa kitendo kile cha ubibadamu?! Kwani yeye Wema hakuwa na mahitaji ya hiyo pesa au ni wangapo walikuwa na pesa hiyo hawakujitokeza kumuokoa na kifungo?!! Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Wema kafanya jambo jema sana. Hayo mengine tuwaachie wao wenyewe.
 
Mmmh Dada Dina una maneno makali aisee. Kitendo cha kumrdishia hiyo pesa si cha kiungwana kabisa. Hiyo pesa aliitoa kwa mapenzi yake kwa rafiki yake. Akisema azirudishe leo watu watauliza mbona hakuweza kujidhamini wakati ule?!!

Wema wakati anatoa pesa hiyo si ni nyinyi ndo mlimpongeza kwa kitendo kile cha ubibadamu?! Kwani yeye Wema hakuwa na mahitaji ya hiyo pesa au ni wangapo walikuwa na pesa hiyo hawakujitokeza kumuokoa na kifungo?!! Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Wema kafanya jambo jema sana. Hayo mengine tuwaachie wao wenyewe.

Mi sikupongezaaaa kwanini amsimangeeee
 
Matola Warumi muache unapenda kumuoneaa nenda kwa wakubwa wenzio akina Ritz na @khataan pia na lusungo muache warumi banaa
 
Last edited by a moderator:
Comments za WARUMI zinaonyesha ana AMA ana Vivu,Uchungu, Husuda na KAJALA kwa kutoka na mkware Clement. Wema na Kajala wote wezi tu wa mume wa mtu na hakuna wa kumlaumu mwenzake hasa kwa sababu Wema alishaachana na CL. Wote wanatakiwa wakatubu kwa MUNGU na wakamwombe msamaa mke wa Clement
 
Matola Warumi muache unapenda kumuoneaa nenda kwa wakubwa wenzio akina Ritz na @khataan pia na lusungo muache warumi banaa

kweli we mama shughuri yaani umbea ulivyokukolea sipati picha.

njoo jukwaa la kazi kuna nafasi 6 wanatakiwa moderators wapya.
 
Last edited by a moderator:
Comments za WARUMI zinaonyesha ana AMA ana Vivu,Uchungu, Husuda na KAJALA kwa kutoka na mkware Clement. Wema na Kajala wote wezi tu wa mume wa mtu na hakuna wa kumlaumu mwenzake hasa kwa sababu Wema alishaachana na CL. Wote wanatakiwa wakatubu kwa MUNGU na wakamwombe msamaa mke wa Clement

Ndo ujue kuwa Mimi sina timu , maana akina Mrembo by Nature wanasemaga mi namponda wema tu , mm sina team wala ushabiki na mtu , wote hao makahaba
 
Last edited by a moderator:
Kuna message zimekutwa za kajala kwenye cmu ya ck , sasa hawala wake mwingine anaitwa najma ndo kazisambaza zimeenea sana kule instagram na namba za simu za kajala zipo kwenye hzo message , inshort kajala .

hizo msg zinaonyesha kajala hana mpango na clement. clement ndio anambembeleza kajala.
 
hizo msg zinaonyesha kajala hana mpango na clement. clement ndio anambembeleza kajala.

Hapana chezea mk0ndu wa kajala , lazima ambembeleze mavi yote Yale halaf kitu original no mchina kama wema
 
warumi picha ya Clement Kihondo imepatikana huko Insta ushaipata wewe? Mambo kweupe na anapofanyia kazi hadi ofisi imetajwa. Ubuyu mpya huo bye
 
Last edited by a moderator:
warumi picha ya Clement Kihondo imepatikana huko Insta ushaipata wewe? Mambo kweupe na anapofanyia kazi hadi ofisi imetajwa. Ubuyu mpya huo bye
Ubuyu mchachujeee
 

Attachments

  • 1399551557492.jpg
    1399551557492.jpg
    49.6 KB · Views: 229
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom