Kajala na Harmonize wameachana? Kajala afuta picha za Harmonize Instagram na kumu–unfollow

Kajala na Harmonize wameachana? Kajala afuta picha za Harmonize Instagram na kumu–unfollow

Huyo Paula sijui Paulo najua mmakonde atakuwa kamkunja tu
Kanatumia hiyo kusema kwa mama ake kama defense mechanism
 
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho


Ndoa za mastaa ni chache sana zinazodumu
 
Kamalizia kutatua malinda ya bibi then kasepa duh konde bwaay noma sana , na hawa wanawake njaa zimewazidi mtu anaolewaga tuuuuu kila siku yeye , kwakweli mwanamke kama hana akili zinazoumia ni sehemu zileeee nimeamini
 
Kamalizia kutatua malinda ya bibi then kasepa duh konde bwaay noma sana , na hawa wanawake njaa zimewazidi mtu anaolewaga tuuuuu kila siku yeye , kwakweli mwanamke kama hana akili zinazoumia ni sehemu zileeee nimeamini
Na bado binti nae kamkosa kosa au ukute kapita na wote mama na mtoto
 
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho


Ndoa za mastaa ni chache sana zinazodumu
Na haiwezekani idumu at the sametine ukiki...lazima usacrifice kimoja wapo

Mfano yule jamaa aliimba bembeleza, kaimba rita hata jina simkumbuki...ndoa yake imedumu lakini kapotea kwenye ulimwengu wa mziki
 
Na haiwezekani idumu at the sametine ukiki...lazima usacrifice kimoja wapo

Mfano yule jamaa aliimba bembeleza, kaimba rita hata jina simkumbuki...ndoa yake imedumu lakini kapotea kwenye ulimwengu wa mziki
Anaitwa Marlow..
 
Moja kati ya taarifa inayo-trend kwa sasa mitandaoni ni kuhusu msanii wa filamu Kajala Masanja na msanii wa muziki Harmonize ambao inasemekana penzi lao limefika mwisho kutokana na baadhi ya viashiria vya mazingira vilivyojitokeza.
HAMO-KAJALA.png

Taarifa hiyo imekuja baada ya Kajala Masanja kufuta picha zote alizowahi ku-post akiwa na Harmonize kwenye mtandao wa Instagram kisha kumu-unfollow kwenye mtandao na kuandika ujumbe wa Kiingereza uliotafsirika kama

Usimuumize mtu kwa ajili ya sababu zako binafsi

Mahusiano ya Harmonize na Kajala yalikuja kwa kasi na yalivutia watu wengi hadi kufikia hatua ya kuchorana tattoo japo baadhi ya watu wengine walikuwa wanalipinga penzi lao mitandaoni.
Hawa wanawake wapo kimaslahi sana atakuwa amempenda ili apate mtaji kiasi flani vinginevyo hakuna. sasa huenda ameona kitita hakipo wala ramani haisomeki ya kuchomoa kitita hicho akaona asepe tu.
 
Ndio mimi sijawahi kuielewa huwa nawaona kama mtu na shangazi yake
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kajala anahitaji mwanaume matured na anayejitambua na asiyetaka kuwepo kwenye spotlight...unless kama na yeye awe na mission zake za kukamilisha

Konde bado yupo kwenye umri wa pilikapilika, bado yupo mwanzoni mwa graph ya fame hata kucope bado so ni vigumu kusettle kwa sasa

Mwanamke yeyote ambae atachagua kuwa naye ni kwa maslahi yake kwanza, lazima atamtumia kama ngazi ya kupandia kimziki
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kajala anahitaji mwanaume matured na anayejitambua na asiyetaka kuwepo kwenye spotlight...unless kama na yeye awe na mission zake za kukamilisha

Konde bado yupo kwenye umri wa pilikapilika, bado yupo mwanzoni mwa graph ya fame hata kucope bado so ni vigumu kusettle kwa sasa

Mwanamke yeyote ambae atachagua kuwa naye ni kwa maslahi yake kwanza, lazima atamtumia kama ngazi ya kupandia kimziki
Anadate na mwanaume age mate wa mwanae!!!
Mbakaji huyo
 
Hawa wanawake wapo kimaslahi sana atakuwa amempenda ili apate mtaji kiasi flani vinginevyo hakuna. sasa huenda ameona kitita hakipo wala ramani haisomeki ya kuchomoa kitita hicho akaona asepe tu.
Ni kweli mkuu
 
Kamalizia kutatua malinda ya bibi then kasepa duh konde bwaay noma sana , na hawa wanawake njaa zimewazidi mtu anaolewaga tuuuuu kila siku yeye , kwakweli mwanamke kama hana akili zinazoumia ni sehemu zileeee nimeamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom