Kajala na mwanae waja na Reality Tv show yao

Kajala na mwanae waja na Reality Tv show yao

Watu Wana roho mbaya kinyama , wao wameona fursa Ila we umeona uwatukane , wakidanga taabu ,wakiomba shida , wakiamua kupambana kelele....duh,au ni sifa gani zinahtajika ili mtu aanzishe reality show ??? Maisha ya Kajala yanahusisha watu maarufu hapa bongo , na mwaka huu yeye na mwanawe ndo wanawake walioukimbiza mji.....wameona watumie fursa wacha wafaidike

I work in Tv industry, bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kufanya reality show binamu, trust me
 
Kanye West ni producer maarufu wa hip hop duniani, Majani ni producer maarufu wa hip hop East Africa.

Kajala ni celebrity mlimbwende East Africa mwenye scandals za picha chafu
Kim Kardashian ni celebrity mlimbwende duniani mwenye scandal za picha chafu

Kanye West ameachana na Kim Kardashian
Majani ameachana na Kajala.

Kim Kardashian ana reality show ya familia yake
Kajala ana reality show ya familia yake.

Unaona mambo yanavyoenda yanafuatana hapo?

Utopolo mtupu, waende South Africa waone reality show zilivyo
 
I work in Tv industry, bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kufanya reality show binamu, trust me


Reality show 99% kama sio zote unazoziona unyamwezini ni scripted. Unachotakiwa kufanya au kusema ni vile waandaaji wanataka hata kama ni aibu, basi unapiga pesa. Kajala ni muigizaji, akipata director na timu nzuri ya production kibongobongo lazima auze. Anaweza kujaribu episodes kama 6 tu kusikilizia soko. Tunachotakiwa wabongo, tuache kukatishana tamaa
 
Sema ww binamu , kwa nyota gan aliykua nayo? Kwa pesa ipi?
YAni naongea sio kwa ubaya niliwahi kumwona kajala live alimsindikiza wema mahali kwenye biashara fulani, kajala niliyemwona pale ni "low iq", Tena nilishangaa amekuwaje celebrity wa bongo. Tizama hata zile Biko shows alizokua anahost ama zile video walizokua wanazirusha na kondeboy kwa makini... Kajala hawaeziiii, hawezi. Reality show ilimshinda jide commando na wema seenga kajala ataiwezea wapi???? Zari, Akothee wa kenya, lile limalaya flan la kenya lenye matako, diamond at least wangeweza lkn Sio huyo kajala.
 
Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .

Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.

Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.

Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew

Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupuView attachment 1815416
View attachment 1815417
Wakajifunze kilichowatokea wema na jide

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .

Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.

Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.

Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew

Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupuView attachment 1815416
View attachment 1815417
Tv gani itaonyesha hiki kipindi


Reality show bora kwangu ilikua ya jide na chid benz tu
 
Kajala reality show hawezi kwanza anakaa kazubaa fulani hivi. Reality show inataka drama queen type ya kina gigy, fanya vituko, drama nyingi upate watazamaji.

Kina wema, Jide, Irene Uwoya walishindwa coz zao zilikuwa too boring unaangalia kitu hakina drama hata moja. Katoka chumbani kaingia seblen Yuko kwenye gari karudi nyumbani. [emoji849][emoji849][emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom