Watu Wana roho mbaya kinyama , wao wameona fursa Ila we umeona uwatukane , wakidanga taabu ,wakiomba shida , wakiamua kupambana kelele....duh,au ni sifa gani zinahtajika ili mtu aanzishe reality show ??? Maisha ya Kajala yanahusisha watu maarufu hapa bongo , na mwaka huu yeye na mwanawe ndo wanawake walioukimbiza mji.....wameona watumie fursa wacha wafaidike
Kanye West ni producer maarufu wa hip hop duniani, Majani ni producer maarufu wa hip hop East Africa.
Kajala ni celebrity mlimbwende East Africa mwenye scandals za picha chafu
Kim Kardashian ni celebrity mlimbwende duniani mwenye scandal za picha chafu
Kanye West ameachana na Kim Kardashian
Majani ameachana na Kajala.
Kim Kardashian ana reality show ya familia yake
Kajala ana reality show ya familia yake.
Unaona mambo yanavyoenda yanafuatana hapo?
Wewe unamponda kajala alafu hapo hapo unamsifia Zari huyo Zari ana kipi cha kufanya reality show au wewe unadhani reality show ni kuonesha magari na nyumba?Mshamba tu yule hana lolote
I work in Tv industry, bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kufanya reality show binamu, trust me
YAni naongea sio kwa ubaya niliwahi kumwona kajala live alimsindikiza wema mahali kwenye biashara fulani, kajala niliyemwona pale ni "low iq", Tena nilishangaa amekuwaje celebrity wa bongo. Tizama hata zile Biko shows alizokua anahost ama zile video walizokua wanazirusha na kondeboy kwa makini... Kajala hawaeziiii, hawezi. Reality show ilimshinda jide commando na wema seenga kajala ataiwezea wapi???? Zari, Akothee wa kenya, lile limalaya flan la kenya lenye matako, diamond at least wangeweza lkn Sio huyo kajala.Sema ww binamu , kwa nyota gan aliykua nayo? Kwa pesa ipi?
Wakajifunze kilichowatokea wema na jideMtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .
Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.
Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.
Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew
Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupuView attachment 1815416
View attachment 1815417
Tv gani itaonyesha hiki kipindiMtu na mama yake ndo upumbavu wao ulipoishia hapa, mxieew reality show kwa maisha yapi waliokua nayo ? Kwa pesa Zipi? , yani kipi cha ajabu sana ambacho wanacho wakafanya mamillion ya watu waache kazi zao kuwatazama? Labda wa shoot porn .
Kwa bongo hakuna staa mwenye hadhi ya kuanzisha reality show tukasema kweli hii show kiboko, kwanza maisha yao wengi ni Fake, hawajui kujielezea, hawana exposure yeyote , vigali vyao vyenyewe ndo hivyo hvyo vi Toyota.
Hivi wanajua maana reality show hawa? Ebu wakachungulie kwanza reality shows za South Africa tu Hapo halafu waje waone kama kweli na wao wanataka kufanya reality show au bongo movie.
Kwa East Africa Zari peke yako ndo atleast ana hadhi ya kufanya reality show ikafanya poa, she is smart , she is living a a life, hajasoma But ako na exposure, anaishi kistaa, Zari kipindi chake hata ulaya wanaweza kuangalia, she is on that level yani , sasa hawa mama ntilie mtu na Mama ake mamburula shule hawana, akili hawana,, kusafir tu Dubai washajione akina kim kardashian mxieew
Kwanza kajala kazubaa sana hana swagg zozote, yani mmeona mmepata kiki kidogo tu mkaamua kupiga picha eti reality show, huyo paula ukimuona live hana huo mvuto ni mzuri tu wa sura, utopolo mtupuView attachment 1815416
View attachment 1815417
Kuna ela hapo anza mipango sasa iviNaona wameamua sasa kutengeneza show yao ili wapande bei, hii couple nitakuja kuiomba manage a trois. Ngoja tu