Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Wanaleta pigo za uganga tu.Tafsiri yake ni nini?
Uchawi upo ila ukiwa ndee unakubalasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaleta pigo za uganga tu.Tafsiri yake ni nini?
Mimi hivyo vikongwe hata bure sitakiHayo unasema wewe.
Hao wanaliwa na vitoto vinaliwa.
Haiachwi kitu.
True Bro, mimi huyo Paula Kajala kanifilisi mno, mpaka leo mambo bado hayaendiNilidate na kajala niliyumba kiuchumi sana huyo kajala ana gundu la wanaume
Uliangalia ile movie ya kanumba, sijui Devil Kingdom??? Basi kaangalie uhusika wa kajala halafu urudi hapa ujijibu[emoji23]View attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]pia alifanya movie na kanunba, kanumba akahama kituo milele[emoji119]Uliangalia ile movie ya kanumba, sijui Devil Kingdom??? Basi kaangalie uhusika wa kajala halafu urudi hapa ujijibu[emoji23]
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16]pia alifanya movie na kanunba, kanumba akahama kituo milele[emoji119]
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Ukiwa msanii na machawa. Wasapoti ili waendelee kukupigia kampeni. Harmonize hasapoti chawa wake mpaka wamuombe. Hilo limesababisha wamkimbie. Hili hata sheta limemkutaga. Marafiki anataka kuwafanya machawa wakati hawalipi.View attachment 2681797
Kajala alipoanza mahusiano na Pfunk Majani, Pfunk aliyumba sana akapigwa bao na kina masterJ, Mikamwamba na wengine wengi, wakongwe wenzangu mnawakumbuka.
Kajala akafunga ndoa, mume akafungwa magereza, yeye aliponea baada ya wema kumlipia fedha alizopewa na mpenzi wake CK.
Kwa ulaku wake, Kajala akamwibia Wema yule bwana, kilichompata bwana yule baada ya kudate Kajala alifukuzwa kazi serikalini na kupandishwa mahakaman kwa ufisadi na uhujumu, alifungwa na kufilisika kabisa. Sasa hivi anachoma mishkaki.
Harmo alipotoka WCB alipata deals nyingi na endorsements, lakini alipolianzisha na Kajala makampuni hayakuongeza mikataba, wasanii hadi machawa wa kondegang waliachana nae. Hilo ni gundu.
Rayvan alipodate Paula wa Kajala alipotea kwenye Raman had akamrudia mkewe, hadi Sasa hajakaa sawa bado kibiashara.
Nikimtazama Marioo tangu aanzane na Paula wa Kajala, umaarufu unapungua.
Je, hili sio gundu lililopindukia?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Shida siku izi wanauza kimya kimya hata kumjua huyu muuza k huyo siyo si rahisi sana labda hao maarufu,una det na muuza k mikosi itaachaje kukuandama
Ningesafisha nyota,huu Ni upepo mchafuKwa kufanya nini hasa, ungekuwepo wewe ungefanya nini?
Watajimake vipi Kama Kuna gundu katkati?Sasa si upuuzi wa hao watu, walishindwa kujimake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaangalie uliowahi kudate nao afu jilinganishe na wewe ulipo sahv[emoji4]Usinambieee baba J unaniogopeshaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha.....anajifanya paroko[emoji28]Buchani deile ila nyama zetu zile anazikandia
Na Mbususu ikawapoteza[emoji38]Wanaume wote ulowataja walifata mbususu tuuuuu , yaaaani uteleziiii
Hakuna kitu km hicho bhanaa, weeeWatajimake vipi Kama Kuna gundu katkati?
Hilo gundu Ni kila unachofanya unaangukia pua[emoji4]
Wote wamefanikiwaa jamanii,[emoji8][emoji8]Kaangalie uliowahi kudate nao afu jilinganishe na wewe ulipo sahv[emoji4]
Unadhan hiyo trend ya kajala imetokea bahat mbaya? Uko aliko Kama anapitia huu Uzi lazima yeye mwnyw nafs inasuta[emoji26]Hakuna kitu km hicho bhanaa, weee