Kajala na Paula wana gundu gani?

Uliangalia ile movie ya kanumba, sijui Devil Kingdom??? Basi kaangalie uhusika wa kajala halafu urudi hapa ujijibu[emoji23]

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa msanii na machawa. Wasapoti ili waendelee kukupigia kampeni. Harmonize hasapoti chawa wake mpaka wamuombe. Hilo limesababisha wamkimbie. Hili hata sheta limemkutaga. Marafiki anataka kuwafanya machawa wakati hawalipi.
Chawa ni mfanyakazi kama wengine sio marafiki. Marafiki ukiwafanya kuwa chawa uwalipe. Hapo ndipo Diamond kawazidi wenzake.
NB: nimewiwa kuongelea uchawa Kwa leo
 
una det na muuza k mikosi itaachaje kukuandama
Shida siku izi wanauza kimya kimya hata kumjua huyu muuza k huyo siyo si rahisi sana labda hao maarufu,

Hivi tunda muuza k siku izi yupo wapi,hivi hakina gundu nacho kile[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sasa si upuuzi wa hao watu, walishindwa kujimake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watajimake vipi Kama Kuna gundu katkati?
Hilo gundu Ni kila unachofanya unaangukia pua[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…