whitehorseV
Member
- Dec 15, 2014
- 31
- 4
Basi amrudishe jela kama anaweza
Yaani hawa wasanii hawajaangaika na macourse work wala assignment na test lakini wanakula hela ya kutosha
Kama uwezo anao si alipe maana wema yupo juu ya mawe kwa sasa,Rumishael ndio aliyetoa hizo fedha na si wema.........
Kama uwezo anao si alipe maana wema yupo juu ya mawe kwa sasa,Rumishael ndio aliyetoa hizo fedha na si wema.........