Kajala: Siwezi kurudiana na P Funk

Ila p funk bado ana hela hela now
 
Ila p funk bado ana hela hela now
vijisent tu bab ...hawezi kummudu tena yule demu "" ameshakuwa paka la jiji "" masponcer wote macho kwakwe ""
wakti ule akimiweza kwakuwa demu alikuwa bado hajakuwa ..she was amateur
 
Mkuu sijawahi kusikia, ila sijawahi kuona mbantu kazaa na mtu mweupe halafu mtoto atokee black 100%!
Mkuu mzazi mmoja akiwa black na mwingine ni mzungu, basi mtoto anaweza kuwa black au anaweza kuwa white au pia anaweza kuwa mchanganyiko(shombe shombe)
 
vijisent tu bab ...hawezi kummudu tena yule demu "" ameshakuwa paka la jiji "" masponcer wote macho kwakwe ""
wakti ule akimiweza kwakuwa demu alikuwa bado hajakuwa ..she was amateur
Hahaaa!!! Ila p Malaya sana,kuna yule demu muhindi alizaa naye mapacha sijui yu kwapi yule demu
 
Uko vizuri mkuu, umeandika ukweli asilimia 90
 
Ila upo tayari kutembea na vitoto vidogo ulivyovizidi umri.... Ama kweli mwanamke stara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…