walisema mwezi wa nane
Mmh kashakuwa mama mkwe tena? Kwa ndoa gani? Ndomo na mama yake lao moja wale, wema kama anajihesabia ndoa atasubir sana. Mkwe mwenyew kila mwanamke anamkumbatia
nashangaa habari hii haijatoka front page ya mwananchi au the citizen..too bad watanzania tuthamini vya kwetu jamani:A S wink:
Maatope kama kawaida yako naona upo ubandani.
Huyu jamaa ni matope kwelii
binamu yaani kuna jambo nimelisikia acha tu mie hoi.. hawa maselebuliti balaa
Wema kafuturisha jana kaalika wakwe, mawifi na utamu wake Bwana Platnum Diamond. Kapiga picha kamlalia mama mkwe miguuni mama mkwe amku
wazzupYan ana miujiza had nimeshindwa kumuelewa, nyie binadamu wengine bado wapo kwenye usokwe sio binadam kamil
Wema ana ugonjwa na wanaume mastaa, yupo na ndomo kwa kuwa jamaa he is on top now, ngoja awe kam mr nice kama utamwona mama ubaya