Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
Nimeiona hii nikaona isinipite nishee na wenzangu. Hivi, kama mtu atasaliti dini, kumsaliti binadamu mwenzake je?
Full story
Full story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Mimi nalijua hili leo. Hili Rajabu lilitokea wapi, mkuu?Najua konde boy ni mlokole na alibatizwa na nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni Dr Geor Davie kule hemani Kisongo.
Sasa huyu Kajala naye kaamua kuokoka!
😂😂 najaribu kuwa mbea, mkuu.Kaka we Ni mbea ??
Kashaona swali lako,halafu ameyeya.Binadamu wazushi sana.Duh! Mimi nalijua hili leo. Hili Rajabu lilitokea wapi, mkuu?
Nimeshangaa sana. Kusini najua ina population kubwa ya waislamu... Ukristo kule ni nadra sana, wakuu.Kashaona swali lako,halafu ameyeya.Binadamu wazushi sana.
Yule anaewaingiza kwenye mikataba naona mashimo nae keshasajiliwa kwenye serikaliNajua konde boy ni mlokole na alibatizwa na nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni Dr Geor Davie kule hemani Kisongo.
Sasa huyu Kajala naye kaamua kuokoka!
Yule anaewaingiza kwenye mikataba naona mashimo nae keshasajiliwa kwenye serikali
Duh! Mimi nalijua hili leo. Hili Rajabu lilitokea wapi, mkuu?
😂😂 Umeweka vipi mstari juu ya neno?penzihela
😂😂 Sawa, mkuu.Ni jina tu la kupewa kama lilivyo Chacha
😂 Mungu je? Hatokasirika?Aaahh bora abadili tu. Angalau kapata bahati ya kufia kwa mmakonde maana ndo Saa sita hio
Unatumia browser? Unavoandika kuna B, I na vidoti vitatu hapo kwa juu kwenye kibox cha kuandikia. Sasa bonyeza vidoti vitatu, utaona S imepigwa mstari. Ndio unaselect sentesi unayotaka afu unaibonyeza iyo S.😂😂 Umeweka vipi mstari juu ya neno?
Nimekusoma, mkuu. KamaUnatumia browser? Unavoandika kuna B, I na vidoti vitatu hapo kwa juu kwenye kibox cha kuandikia. Sasa bonyeza vidoti vitatu, utaona S imepigwa mstari. Ndio unaselect sentesi unayotaka afu unaibonyeza iyo S.
View attachment 2357642
Wewe upewe Uwaziri wa Fedha. Fast learner.Nimekusoma, mkuu. Kamahivi? 😂
Nitazipiga hela zote 😂Wewe upewe Uwaziri wa Fedha. Fast learner.
Mungu hana uchaguzi juu ya mwanadamu.Thus mwanadamu ndie uamua akale kiberiti au aingie peponi😂 Mungu je? Hatokasirika?