Kajiandae; Balaa jipya toka kwa Ommy Dimpoz na Alikiba

Kajiandae; Balaa jipya toka kwa Ommy Dimpoz na Alikiba

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Hawa jamaa wametisha sana, kuanzia audio mpaka video hatari tupu!
Ila najua kuna wale jamaa wa kupinga kila kitu anachofanya kiba, wataanza kuisifia Nisamehe na Averina watasema huu wimbo ni mbaya sana haijawahi tokea!!

 
Wimbo ni mzuri na Video ni nzuri LAKINI nao utafifia mara moja kama ule wa Salome ulivyochuja faster. Tatizo ni moja tu, wasanii hao wote waliipigia kampeni CCM ile mwaka jana ili watanzania tuisome namba, sasa ni zamu yao kuisoma namba pia.
Kwanza walipe Kodi.

Watanzania hatutakagi ujinga.
 
Ni mastar wawili wenye msjina makubwa lakini hawana nguvu kubwa kama ya yule anayepigaga views 1milion kwa siku tatu na views 3milion in one week, jpil ijayo nenda youtube utakuta bado inasumbuka kuipata laki nane
 
Wimbo mzuri na video kali. Naona Mpho Khati kawekwa humo kama video vixen mahaga yake yametamalaki
 
Naupa wiki moja tu huwu wimbo baada ya apo utafata njia za zingine zilizopita kama
Nitulize
Nisamehe
Averina
Ubunifu zero plus same melody kwa kila nymbo
kuna msanii kila nyimbo analia tu
 
Back
Top Bottom