silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,278
- 1,794
Raia wawili wa ujerumani wamekataliwa kuishi pamoja na mahakama ya haki za binaadamu ya umoja wa Ulaya.
Watu hao ambao wana uhusiano wa muda mrefu na ambao tayari wana watoto wanne, wawili wakiwa ni walemavu wanataka kutambulika kama wapenzi wengine ili wapate kuendelea kuishi pamoja na kupata haki zote za wanandoa.
Kwa taarifa zaidi tembelea bbc.co.uk
Watu hao ambao wana uhusiano wa muda mrefu na ambao tayari wana watoto wanne, wawili wakiwa ni walemavu wanataka kutambulika kama wapenzi wengine ili wapate kuendelea kuishi pamoja na kupata haki zote za wanandoa.
Kwa taarifa zaidi tembelea bbc.co.uk