Salamu sana wapendwa wangu.
Kuna kaka nimemuona leo ofisi fulani ya umma, ni mzuri tena anaonekana ni "mtamu" kutia naye story. Wakati nimesimama zangu kwenye hiyo ofisi nasubiria huduma, huyo kaka aliombwa SANITAIZA na mwenzie kwa kuwa yule mwenzake alikuwa kamaliza ya kwake. Utaratibu wa hiyo ofisi kila staff ana sanitaiza yake, sasa sijui kama wamenunuliwa na ofisi au wanajinunulia wenyewe.
Sikuamini macho yangu yule kaka "mzuri" alimnyima kata kata mwenzie. Nikajiuliza maswali mie mwenyewe kichwani, hivi sasa anavyomnyima huyo na wamekaa desks jirani haoni kwamba huyo akipata korona hata yeye ana hatari ya kuambikizwa. Nilidhani anatania lakini, alimfungia vioo mwanzo mwisho.
Kumbe wenyeji na wazaliwa wa mkoa uleee wanavyowasema ni wachoyo, wabinafsi, but waroho wa kupenda vya wenzao kuna ukweli ndani yake.
Yooooo! Iwe booojoooo kaziroooooo.
Ahsanteni, nawatakia Jumatatu njema.
Kuna kaka nimemuona leo ofisi fulani ya umma, ni mzuri tena anaonekana ni "mtamu" kutia naye story. Wakati nimesimama zangu kwenye hiyo ofisi nasubiria huduma, huyo kaka aliombwa SANITAIZA na mwenzie kwa kuwa yule mwenzake alikuwa kamaliza ya kwake. Utaratibu wa hiyo ofisi kila staff ana sanitaiza yake, sasa sijui kama wamenunuliwa na ofisi au wanajinunulia wenyewe.
Sikuamini macho yangu yule kaka "mzuri" alimnyima kata kata mwenzie. Nikajiuliza maswali mie mwenyewe kichwani, hivi sasa anavyomnyima huyo na wamekaa desks jirani haoni kwamba huyo akipata korona hata yeye ana hatari ya kuambikizwa. Nilidhani anatania lakini, alimfungia vioo mwanzo mwisho.
Kumbe wenyeji na wazaliwa wa mkoa uleee wanavyowasema ni wachoyo, wabinafsi, but waroho wa kupenda vya wenzao kuna ukweli ndani yake.
Yooooo! Iwe booojoooo kaziroooooo.
Ahsanteni, nawatakia Jumatatu njema.