Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Long time ago no see u
Nan alikwambia tabia ya mtu inakuwa shaped na kabila lake? Nikupe ww pole kwa upofu wa akili unaokukumbamuache uchoyo, kama jiwe limekupata gizani. pole sana
Yaani ni wachoyo hadi kero. Kuna mmoja nilisoma naye wakati nasoma kozi yangu ya hoteli menejimenti, yaani yule dada huwezi kuamini hata tukiwa tunafanya discussion, yule dada hata akiona mnaingia chaka, ananyamaza tu, hataki kutoa mchango wake sahihi ili mradi afaulu yeye mwenyewe!Bukoba moja hio. .sina hamu nao hao 3 years Nimefanya kazi kule jamani jamani ni wabinafsiiiii. .hawapendi wanyamahanga wawazidi kitu au wafanikiwe. .hio misifa sasa!
wako na bwetwale mno mno
chonka NAKWEDE wagamba mazima
Cc Smart911
beeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Yaani ni wachoyo hadi kero. Kuna mmoja nilisoma naye wakati nasoma kozi yangu ya hoteli menejimenti, yaani yule dada huwezi kuamini hata tukiwa tunafanya discussion, yule dada hata akiona mnaingia chaka, ananyamaza tu, hataki kutoa mchango wake sahihi ili mradi afaulu yeye mwenyewe!
Jamaniii!!!!sisi kwenye grupu letu walikuwepo watatu ayayayayayayayayaya walikua wajuaji mnooo ...wao ndo wanataka wadominate discussion points nzuri ni zao za wengine wanaona hamnaaaa ikafikia mahala wakaona wajitenge watengeneze grupu lao na watu wao wengine wanaowakubali wao mbaya zaidi wengi wao walikua in service afu wazee mambo mengiii. tehteh grupu letu kazi nyingi Tukawa tumawapitaaa hahahaha. ...
Cc Smart911
unahisi wewe ukimuomba atakupa....?Ndio ni mchoyo, yaani kaona tabu kumgea mwenzie sanitaiza
hahahahah, sidhani!unahisi wewe ukimuomba atakupa....?
muombehahahahah, sidhani!
HahahaKaterero njema.
muombe
PUNGUZA TAMAA NIKO NA WEWE HAPA NAKUCHORA TU, HUYU MWENZANGU MZEMBE ALISEMA HAWEZI KUTEMBEA NA SANITAIZA ATAIACHA NYUMBANI
navyokujua Nak,ulishalowa tayari..🏃♂️tulia nyumbani,corona ni hatari