zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
Ndio nani haooNaona kama wamekuja kulipoteza bifu la wale vijana wa lunduno.....
Maana kila kona ni KAKA TUCHATI[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vichwa vinajua kuumiza vichwa hasa kubuni vitu vipya vipya.
P the mc na nikki mbishi...
Mie shabiki ako wa Jf! Sipendi unavyojibiza na watu.... Jaribu kuwapotezeaHahaa, haya bana kumbe ulikua unateseka eeh, ungenipa tu hayo makavu mwenyewe, why usubirie mpaka mwingine akusemee, unaniogopa?
Mic u dea jomoneeeeh [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] had naumwa lolAki sikuoelewa hayo maneno, thank you[emoji3][emoji3] hawa watu nomaa
Thank you for being my fan ubarikiwe, ila sasa mimi ni binadamu si malaika, moyo wangu ni wa nyama siyo chuma, mtu from nowhere anakuja kunishika sharubu na mwingine anafurahia no no siwezi kumvumilia hata kujibu tu, kama nimekosea nirekebishwe ila kejeli+ matusi hapana yanaudhi, thank you lakini ntajitahidi ,nikishindwa basi ndiyo hivo. Uwe na asubuhi njema rafiki.Mie shabiki ako wa Jf! Sipendi unavyojibiza na watu.... Jaribu kuwapotezea
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you dear,miss you pia, asubuhi njemaMic u dea jomoneeeeh [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] had naumwa lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka tuchatiiStamina anasifa sana..[emoji23]
Asa yule dada anajipitisha pitisha pale na tumbo lake ili iweje sasa
Nyumbu wa cdm utawakuta wakiifurahia. Sababu kuu. Matusi kwa viongoziCCM na genge lao unaweza kuwakuta wamekaa wanaupondea huu wimbo nzuri
Nimeshajifukiza😎
Naona jamaa anakunyatia nyatia...😀😀
Aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]