mimi ninachojua mtu anaoga au kunawa..Do not take it too serious bro!
Sasa umeongea kiingereza ili tukuone upo juu au? Kula kona. MzeeeDo not take it too serious bro!
Njia rahisi kuepuka hayo nunua mashine yako unyolewe na mkeo.Hawa wadada wa barber shops wanazingua sana!
Akikuuliza unafanya scrub ukamwambia hufanyi…
Na hizo huduma zao nyingine (mimi sio muumini wa hizo huduma) ukazipangua zote ,
Sana sana ukataka uoshwe tuu. Utaoshwa kwa hasira na minuno juu!
Kwani lazima!! Wengine waume za watu hawapendi kushikwashikwa na watu tofauti na wake zao!
Dawa yao naichemsha maana naona haka katabia kamezidi sasa!
Yani imenitokea Zaidi ya mara moja mtu unaoshwa kwa hasira as if umenyoa bure!!!
mkuu hiyo dawa ikichemka nigawie na mimi ninao wagonjwa kadhaaHawa wadada wa barber shops wanazingua sana!
Akikuuliza unafanya scrub ukamwambia hufanyi…
Na hizo huduma zao nyingine (mimi sio muumini wa hizo huduma) ukazipangua zote ,
Sana sana ukataka uoshwe tuu. Utaoshwa kwa hasira na minuno juu!
Kwani lazima!! Wengine waume za watu hawapendi kushikwashikwa na watu tofauti na wake zao!
Dawa yao naichemsha maana naona haka katabia kamezidi sasa!
Yani imenitokea Zaidi ya mara moja mtu unaoshwa kwa hasira as if umenyoa bure!!!
mi nina mashine...ila wife huwa ananipunyua nisiwe na mvuto huko kichwaniNjia rahisi kuepuka hayo nunua mashine yako unyolewe na mkeo.
ucjal mkuu, mimi ni mmoja wapo wa MAKAPUKU hivyo kuleta challange kama hizi ni kawaida yetuhahahaha uko vizuri mkuu bahati nzuri nshaacha kutoa povu siku nyingi! tuko pamoja mkuu
Wife wako anavyokupunyua pengine ndo anaona unamvutia, mvumilie tu.mi nina mashine...ila wife huwa ananipunyua nisiwe na mvuto huko kichwani