Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
du nakuwaga kituko kiongozi hadi nachepukaga kwenda kusawazisha salonWife wako anavyokupunyua pengine ndo anaona unamvutia, mvumilie tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du nakuwaga kituko kiongozi hadi nachepukaga kwenda kusawazisha salonWife wako anavyokupunyua pengine ndo anaona unamvutia, mvumilie tu.
sasa na wewe unahoji kiingereza kwamba na wewe unajua au?Sasa umeongea kiingereza ili tukuone upo juu au? Kula kona. Mzeee
dah wana mambo wale wadada asee!Maeneo ya Sinza utasikia "Kaka nicusikirabu"...ukisema hapana, atakuambia..."Nywele zako zina mba nikuoshe na dawa"..utasikia kaa basi kwenye foleni ya ili usubiri kuoshwa kichwa...wakati mwingine huwa naondoka tu na nywele zangu...
Na olewako ukubali kufanyiwa hayo yote utajuta hyo bili utakayoletewa,...
Sasa unataka Tule wap?aisee bushland kweli!
Duh! Pole sana kiongozi.Hawa wadada wa barber shops wanazingua sana!
Akikuuliza unafanya scrub ukamwambia hufanyi…
Na hizo huduma zao nyingine (mimi sio muumini wa hizo huduma) ukazipangua zote ,
Sana sana ukataka uoshwe tuu. Utaoshwa kwa hasira na minuno juu!
Kwani lazima!! Wengine waume za watu hawapendi kushikwashikwa na watu tofauti na wake zao!
Dawa yao naichemsha maana naona haka katabia kamezidi sasa!
Yani imenitokea Zaidi ya mara moja mtu unaoshwa kwa hasira as if umenyoa bure!!!
Motonkafu hiyo avatar yako inataka scrub ile iwe white kama inakunywa Lita 40 za maji daily.Uscrab ili iweje mi nawaambia nikune tu ndevu
Kausha mwanasasa na wewe unahoji kiingereza kwamba na wewe unajua au?
DAAAAAAAAAAAA WANABOA SANA HAO WADADA...BEI ZAO SASA,DUUUUUHHawa wadada wa barber shops wanazingua sana!
Akikuuliza unafanya scrub ukamwambia hufanyi…
Na hizo huduma zao nyingine (mimi sio muumini wa hizo huduma) ukazipangua zote ,
Sana sana ukataka uoshwe tuu. Utaoshwa kwa hasira na minuno juu!
Kwani lazima!! Wengine waume za watu hawapendi kushikwashikwa na watu tofauti na wake zao!
Dawa yao naichemsha maana naona haka katabia kamezidi sasa!
Yani imenitokea Zaidi ya mara moja mtu unaoshwa kwa hasira as if umenyoa bure!!!
Hahaa"Me nawekaga sura ya mbuzi hadi wanajishtukia!!
Halafu wanarembua hao...lakini kwangu wanaishia patupuAlaf wakiwa wanakuuliza kama unafanya scrub huku wanakuangalia usoni as if una masinzi yanayotakiwa kusuguliwa.."
Wewe unanyolewa mwembeni na wamakondemimi ninachojua mtu anaoga au kunawa..
sasa wewe unasema kuoshwa, kwani yanayooshwa si magari au maiti(yaani kitu kisicho na uhai)?