Kaka wa kipare ashindwa kumtongoza Vera Sidika....

Kaka wa kipare ashindwa kumtongoza Vera Sidika....

Tatizo anazidiwa kila kitu na Vera, mtu kama Vera humtishi kwa fedha, ni kutumia mbinu zingine.
Angemnunulia maybe wine na kumletea wakanywa pamoja, wakacheza pamoja na kumpa maneno mazuri. Wanawake matajiri huwa wanataka vitu vidogovidogo.
kama hataki kucheza je?
kama kajinunulia vinywaji vyake je?
 
Sasa huyo wa bilion tatu kafanyiwa hivyo je sisi jobless tunaomiliki nguvu tu itakuwaje
 

Attachments

  • 1574446518_1574446518-picsay.jpeg
    1574446518_1574446518-picsay.jpeg
    13.2 KB · Views: 1
Pisi ina pesa zake, independent kama Madam Money Penny 😊
Sasa huyo wa bilion tatu kafanyiwa hivyo je sisi jobless tunaomiliki nguvu tu itakuwaje
 
Kama hataki chochote unaachana naye. Simple, hakuna kumpa attention mwanamke ambaye hakutaki.

Unatafuta mwingine hapo. Then unacheza naye, unazungumza naye .
 
si kapenda jaman!
Sikatai ila kuna muda lazima mwanaume asimame kama mwanaume. Mwanamke ukimbembeleza sana anakuona kama mjinga tu ndo maana mpare alivokuwa anambembeleza akawa Yuko na simu.

wanawake hasahasa hawa independent women wanakuwa attracted from the first sight, inabidi mwanaume awe na uwezo wa kumsoma mwanamke, kama hayuko attracted na appearance basi ukionyesha personality fulani anaweza kuwa attracted, kama haonyeshi unaachana naye.
 
sa mbona ameniuliza mimi wap kakosea?
Wote hawajui mahusiano ya mapenzi au hawakuwa na nia ya dhati. Unamrubuni mtu kwa mali na kipato chako au unatakiwa kuonesha jinsi gani unamjali, kumthamini na uhitaji wako wa kuwa naye? Ndio maana akaishiwa pumzi baada ya kuwekewa aina ya maisha. Ila angekuwa na nia ya dhati, angeelezea hisia zake tu.
Bibie naye kamuonesha kuwa hana shida na pesa wala mali, na zaidi kwa kutokuwa na nia naye, kampa kadi ya biashara, sasa ujiulize, tuko kwenye biashara au mahusiano?
 
Hajakosea kwa mtazamo wake ila kujinadi kwa hvyo pind unatongoza nikama utoto tu hapo hata hakutakiwa kueleza mali alizonazo hio njia washaitumia wanaume wengi tofaut angeenda kwa gear tofauti na hio angalau dem aliona hamna kila kitu anabwabwaja ndo maana kaamua amsomee watu wenye hela walivyo siajabu ukakuta hata huyo dem matumizi na hela alizoongea hana ila nivile aliamua kumuonesha mpare kuwa kibiliti kimejaa 😀
 
Sikatai ila kuna muda lazima mwanaume asimame kama mwanaume. Mwanamke ukimbembeleza sana anakuona kama mjinga tu ndo maana mpare alivokuwa anambembeleza akawa Yuko na simu.

wanawake hasahasa hawa independent women wanakuwa attracted from the first sight, inabidi mwanaume awe na uwezo wa kumsoma mwanamke, kama hayuko attracted na appearance basi ukionyesha personality fulani anaweza kuwa attracted, kama haonyeshi unaachana naye.
SAUWA
 
Wote hawajui mahusiano ya mapenzi au hawakuwa na nia ya dhati. Unamrubuni mtu kwa mali na kipato chako au unatakiwa kuonesha jinsi gani unamjali, kumthamini na uhitaji wako wa kuwa naye? Ndio maana akaishiwa pumzi baada ya kuwekewa aina ya maisha. Ila angekuwa na nia ya dhati, angeelezea hisia zake tu.
Bibie naye kamuonesha kuwa hana shida na pesa wala mali, na zaidi kwa kutokuwa na nia naye, kampa kadi ya biashara, sasa ujiulize, tuko kwenye biashara au mahusiano?
we ungefanyaje labda?
 
Hajakosea kwa mtazamo wake ila kujinadi kwa hvyo pind unatongoza nikama utoto tu hapo hata hakutakiwa kueleza mali alizonazo hio njia washaitumia wanaume wengi tofaut angeenda kwa gear tofauti na hio angalau dem aliona hamna kila kitu anabwabwaja ndo maana kaamua amsomee watu wenye hela walivyo siajabu ukakuta hata huyo dem matumizi na hela alizoongea hana ila nivile aliamua kumuonesha mpare kuwa kibiliti kimejaa 😀
see you at the top man
 
Back
Top Bottom