Kaka wa Michael Jackson ashtakiwa kwa Ubakaji na Unyanyasaji wa Kimwili

Kaka wa Michael Jackson ashtakiwa kwa Ubakaji na Unyanyasaji wa Kimwili

Freemason wakiamua kukumaliza ukishaanza kujitambua hata ya miaka 30 nyuma watayafufua.
Wakumalize.
Naona washawavutia waya Diddy na snoop baada ya kuacha bangi.
 
Hiyo issue ni ya siku nyingi sana akiwa "kafir" wanadai! Most likely alikimbilia kwenye dini in an attempt kujaribu kuficha makosa aliyojua yangekuja kumgharimu!

Bahati mbaya kwake ukisikia "jinai haifi" best case study ni Marekani; faili litafungwa only ukiingia kaburini. Hakuna mambo ya "hana nia ya kuendelea na kesi".
Ulaya sheria ni kwa wote uwe tajiri,raisi nk we ni takataka TU mbele ya sheria.
Africa Sheria kwa ajili ya watu masikini
 
Asharaf Hakimu aanzishe shirika la kutoa elimu kwa mastaa namna ya kuficha mali, huko Ulaya ukimtongoza tu mara 2 anakata, mara ya tatu anakufungulia mashitaka ya ubakaji.
 
Back
Top Bottom