Kaka wa Michael Jackson ashtakiwa kwa Ubakaji na Unyanyasaji wa Kimwili

Freemason wakiamua kukumaliza ukishaanza kujitambua hata ya miaka 30 nyuma watayafufua.
Wakumalize.
Naona washawavutia waya Diddy na snoop baada ya kuacha bangi.
 
Ulaya sheria ni kwa wote uwe tajiri,raisi nk we ni takataka TU mbele ya sheria.
Africa Sheria kwa ajili ya watu masikini
 
Asharaf Hakimu aanzishe shirika la kutoa elimu kwa mastaa namna ya kuficha mali, huko Ulaya ukimtongoza tu mara 2 anakata, mara ya tatu anakufungulia mashitaka ya ubakaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…