Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hana akili timamu.Huyu bibi nilishamshusha thamani siku mingi tangu alipoachana na mumewe Nick,
Now she is dating the Australian Billionare whooooh!!!
At that age bado anaruka ruka tu.
hako kasura kako kazuri kwenye avatar yako lakini una rohooooooo mbayaaaaaAtakufa tu!maana hamna namna
mkuu nimeshuhudia na macho yangu mbwa ana kitambulisho na passport yani sometimes nawakubali ISIS ila approach yao ya ukatili ndio mbayaTusishangae, utamaduni wao si kama wetu. Wao mbwa wana thamani.
yani hawa watu mbwa anathamani sana. Tabia mbayaUshaambiwa dada alifanya umalaya miaka hiyo ili kuwasaidia wadogo zake (Mariah na Morgan)
Kama ulikua hujui tu, Mariah katoka katika familia ya kimaskini sana,
Yote kwa yote hao ni ndugu wa damu,
Unaachaje kumsaidia binadamu mwenzako hlf ukasaidie mbwa!
Kama sio ushetani na uchawi ni nini.
usijekuta kwa wengine watu baki anatoa msaada tu. Na huenda ana charity organisations nyambaff sanakwa maisha ya wazungu, hiyo siyo case ya ajabu... kila mtu anabeba mbao zake mwenyewe
akiwapa hata elfu kadhaa za dolari atapungukiwa nini?? Yani sitasikiliza nyimbo zakeUshaambiwa dada alifanya umalaya miaka hiyo ili kuwasaidia wadogo zake (Mariah na Morgan)
Kama ulikua hujui tu, Mariah katoka katika familia ya kimaskini sana,
Yote kwa yote hao ni ndugu wa damu,
Unaachaje kumsaidia binadamu mwenzako hlf ukasaidie mbwa!
Kama sio ushetani na uchawi ni nini.
utasikia wengine wanakuambia hawez kukupa hela yake kwabab kaipata kwa shidaKumbe roho mbaya sio bongo tu hata ulaya zipo..ukiwa na shida unawezategemea kupata msaada kutoka kwa tyacoon flani unaemkubali ila akutolea mbavuni kindaki ndaki ila ukenda kwa kapuku mwenzako akatoa vizuri tu.nasikia kadiri mtu anapopata pesa ndo anavyozidi kuwa kitasa.
ndio maisha yao... halazimiki kusaidia ndugu ambaye ni mtu mzima... hasa kama alijiingiza kwenye umalaya na madawa, na kama hawajaongea for over 20 yearsusijekuta kwa wengine watu baki anatoa msaada tu. Na huenda ana charity organisations nyambaff sana
Hana akili timamu.
akiwapa hata elfu kadhaa za dolari atapungukiwa nini?? Yani sitasikiliza nyimbo zake
Mariah ni devil, but her family also sio cleanHahahaha me nilishazifuta siku nyingi kwenye playlist yangu,
Nikimsikia nahic kuchefukwa,
Ila Nick anatengeneza kitabu cha kuongea maovu ya Mariah yooooote.
Nasikia tumbo joto huko aliko.
Duuuh kumbe huyo dogo ndio alimyanyua aliimba someone to hold....hiyo nyimbo nlikua naipenda sana dogo mmoja mweusi hiviMariah ni devil, but her family also sio clean
Ila nakuunga mkono, she is the worst person... alianza umalaya na dada yake, lakini alipompata Tomy ndio akawachenjia ndugu zake, na kuna mtu amemtoa sana Maria anaitwa Trey Lorenz (remember someone to love?? aliimba Trey na Mariah), yule jamaa pamoja na efforts zote, alikuja kuishia chini na mdada anatumia "njjuruu vizuri" akatoka
Nick Cannon naye alikua anatafuta lift tu pale kwasababu alikua kalost
Wafu wako busy wanzikana wenyewe