Kaka yake Mariah Carey amwita yeye ni shetani na mchawi

Kaka yake Mariah Carey amwita yeye ni shetani na mchawi

Ushaambiwa dada alifanya umalaya miaka hiyo ili kuwasaidia wadogo zake (Mariah na Morgan)
Kama ulikua hujui tu, Mariah katoka katika familia ya kimaskini sana,

Yote kwa yote hao ni ndugu wa damu,
Unaachaje kumsaidia binadamu mwenzako hlf ukasaidie mbwa!
Kama sio ushetani na uchawi ni nini.
yani hawa watu mbwa anathamani sana. Tabia mbaya
 
Ushaambiwa dada alifanya umalaya miaka hiyo ili kuwasaidia wadogo zake (Mariah na Morgan)
Kama ulikua hujui tu, Mariah katoka katika familia ya kimaskini sana,

Yote kwa yote hao ni ndugu wa damu,
Unaachaje kumsaidia binadamu mwenzako hlf ukasaidie mbwa!
Kama sio ushetani na uchawi ni nini.
akiwapa hata elfu kadhaa za dolari atapungukiwa nini?? Yani sitasikiliza nyimbo zake
 
Kumbe roho mbaya sio bongo tu hata ulaya zipo..ukiwa na shida unawezategemea kupata msaada kutoka kwa tyacoon flani unaemkubali ila akutolea mbavuni kindaki ndaki ila ukenda kwa kapuku mwenzako akatoa vizuri tu.nasikia kadiri mtu anapopata pesa ndo anavyozidi kuwa kitasa.
utasikia wengine wanakuambia hawez kukupa hela yake kwabab kaipata kwa shida
 
usijekuta kwa wengine watu baki anatoa msaada tu. Na huenda ana charity organisations nyambaff sana
ndio maisha yao... halazimiki kusaidia ndugu ambaye ni mtu mzima... hasa kama alijiingiza kwenye umalaya na madawa, na kama hawajaongea for over 20 years

Nina uhakika Mariah naye ana her side of story, so siwezi kulaumu
 
akiwapa hata elfu kadhaa za dolari atapungukiwa nini?? Yani sitasikiliza nyimbo zake

Hahahaha me nilishazifuta siku nyingi kwenye playlist yangu,
Nikimsikia nahic kuchefukwa,

Ila Nick anatengeneza kitabu cha kuongea maovu ya Mariah yooooote.
Nasikia tumbo joto huko aliko.
 
Hahahaha me nilishazifuta siku nyingi kwenye playlist yangu,
Nikimsikia nahic kuchefukwa,

Ila Nick anatengeneza kitabu cha kuongea maovu ya Mariah yooooote.
Nasikia tumbo joto huko aliko.
Mariah ni devil, but her family also sio clean

Ila nakuunga mkono, she is the worst person... alianza umalaya na dada yake, lakini alipompata Tomy ndio akawachenjia ndugu zake, na kuna mtu amemtoa sana Maria anaitwa Trey Lorenz (remember someone to love?? aliimba Trey na Mariah), yule jamaa pamoja na efforts zote, alikuja kuishia chini na mdada anatumia "njjuruu vizuri" akatoka

Nick Cannon naye alikua anatafuta lift tu pale kwasababu alikua kalost

Wafu wako busy wanzikana wenyewe
 
Mariah ni devil, but her family also sio clean

Ila nakuunga mkono, she is the worst person... alianza umalaya na dada yake, lakini alipompata Tomy ndio akawachenjia ndugu zake, na kuna mtu amemtoa sana Maria anaitwa Trey Lorenz (remember someone to love?? aliimba Trey na Mariah), yule jamaa pamoja na efforts zote, alikuja kuishia chini na mdada anatumia "njjuruu vizuri" akatoka

Nick Cannon naye alikua anatafuta lift tu pale kwasababu alikua kalost

Wafu wako busy wanzikana wenyewe
Duuuh kumbe huyo dogo ndio alimyanyua aliimba someone to hold....hiyo nyimbo nlikua naipenda sana dogo mmoja mweusi hivi
 
Wale wanaosema dawa ya UKIMWI ipo wako wapi?
Oneni hadi mambele huko watu wanateseka.
Hata hivyo nimejisikia uchungu sana,kama dada sijui mdogo wangu akinifanyia hivyo nitaumia vipi!
Kumbe haka ka Mariah kana roho mbaya hivi?
Nilikuwa sijui hilo.
 
Kuna watu wana roho ngumu hata kama mna ugomvi kalipie hospitali matibabu yafanyike na wala usiende kumwangalia kama hutaki, Huyo kaka mtu Aweke Namba ya Tigo Pesa tumsaidie chochote,
 
Back
Top Bottom