Kwani alimtuma afanye umalaya?
Au aliufanya akijua kuwa mwisho wake ni ukimwi!aende kwa obama healthcare
yaani wakati dada anauza mwili, wadogo walipokea kiriho safi leo hii kulipa fadhila inakuwa nongwa.Kama kweli aliamua kuwa kahaba ili akina Mariah wasome, anapaswa kumsaidia tena sana tu
Kwa huyu aliamua kuwa malayasidhani kila mwenye ukimwi alifanya umalaya...
wengine wanaletewa nyumbani...
wengine kwa bahati mbaya mfano madactari kijichoma sindano
etc al
Ana roho ngumu kama JIWE!hako kasura kako kazuri kwenye avatar yako lakini una rohooooooo mbayaaaaa
Nilijua haya yapo huku kwetu tu, kumbe hata huko majuu zipo?yaani wakati dada anauza mwili, wadogo walipokea kiriho safi leo hii kulipa fadhila inakuwa nongwa.
nilijua haya yako huku kwetu ivi kumbe hata huko mbele yapo??
mie mzima kabisa mumie si unajua tena buti la Magu adabu mkononi?Nilijua haya yapo huku kwetu tu, kumbe hata huko majuu zipo?
Mimi kiukweli, kutoka moyoni simlaumu hata kidogo huyu dada yake Mariah.
Btw mzima lakini?
Za miaka?
that was the one which was affordable to her.Umalaya kafanya yeye kwa sababu zake ila kwa kisingizio cha kuwatunza wadogo zake
Hivi hapakuwa na kazi nyingine hadi afunuliwe?
am trying to imagine one being in her position and doing this..itakuwa masharti yake ameambiwa asaidie mbwa na si ndugu zake
This is too much.. pamoja na kwamba hawakutafuta wote ila sio kigezo cha kutomsaidia. Kama huyo dada wakati anazaliwa angeua mama huyo maria angekuwepo? Haiingii akilini kushindwa kumsaidia dada yakeHizo hela Mariah alitafuta na nani? Huyo Dada alishawishiwa kujiingiza katika ukahaba na Mariah? Au Mariah alifaidika na ukahaba wa dada yake? Ugomvi wao ulitokana na nini?
huyu bibi hajielewi kabisa angetakiwa amsaidie ndugu yake hata kama wanaugomvi.. roho ya mtu kwanza ugomvi baadae .. sasa sijui akifa ndiyo atafurahi zaidi?am trying to imagine one being in her position and doing this..
kweli hata kama haumpendi unaouwezo kama yeye utashindwa kumsaidia nduguyo wa daamu?
ila atakuja kujirudishia mwenyewe ndipo atakaposoma namba
na hayo masigara anayovuta asubiri zamu yakehuyu bibi hajielewi kabisa angetakiwa amsaidie ndugu yake hata kama wanaugomvi.. roho ya mtu kwanza ugomvi baadae .. sasa sijui akifa ndiyo atafurahi zaidi?
ha haha ni huzuni kwa kweli .. kumpa mbwa nafasi ya binadamuna hayo masigara anayovuta asubiri zamu yake
hao mbwa wake watampelekea maua kaburini akifa?
Kuna watu wana roho ngumu hata kama mna ugomvi kalipie hospitali matibabu yafanyike na wala usiende kumwangalia kama hutaki, Huyo kaka mtu Aweke Namba ya Tigo Pesa tumsaidie chochote,
muda mwingine tunajitoa ufaham ili kusuuza mioyo yetu lakin ukweli unabaki pale pale kwamba binadam ni binadamu tu, na hakuna kinachoweza kureplace nafasi ya mtu kwenye maisha ya mtuha haha ni huzuni kwa kweli .. kumpa mbwa nafasi ya binadamu
Yeah kutoa ni moyo si utajiri, atupe hata namba ya yule shemeji yake wa zamani Nick Cannon asimamie hili zoezi, inaonekana huyu shemeji mpya anashindwa kumshauri mchumba wake aishi vipi na familia yake.Hahahahahaha....duh mkuu unataka namba ya tigo uchangie