njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,144
- 6,942
Kwani alimtuma afanye umalaya?
Au aliufanya akijua kuwa mwisho wake ni ukimwi!aende kwa obama healthcare
sidhani kila mwenye ukimwi alifanya umalaya...
wengine wanaletewa nyumbani...
wengine kwa bahati mbaya mfano madactari kijichoma sindano
etc al