Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Alute Munghwai, kaka wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ameeleza kuwa ni muhimu kurekebisha katiba ya chama hicho baada ya uchaguzi wa ndani ya chama.
Pia, Soma: Sijawahi kumsikia Mbowe akizungumzia Katiba Mpya ya JMT, Nadhani hicho siyo Kipaumbele chake bali ni Kipaumbele Cha Chama!
Ameongeza kuwa kiongozi atakayechaguliwa atapaswa kuwa na jukumu la kurekebisha katiba ya chama chao ili kuhakikisha mafanikio ya chama.
Pia, Soma: Sijawahi kumsikia Mbowe akizungumzia Katiba Mpya ya JMT, Nadhani hicho siyo Kipaumbele chake bali ni Kipaumbele Cha Chama!
Ameongeza kuwa kiongozi atakayechaguliwa atapaswa kuwa na jukumu la kurekebisha katiba ya chama chao ili kuhakikisha mafanikio ya chama.