Pre GE2025 Kaka yake Tundu Lissu: Atakayechaguliwa CHADEMA arekebishe Katiba ya Chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
nadhani hilo ni wazi na ni jambo la kawaida sana kwa kiongozi kufanya mabadiko kulingana na mahitaji ya wakati huo.

Nadhani Freeman Aikaeli Mbowe atakapothibitishwa kuchukua wadhifa huo Jan 22,2025, hatasita kufanya hivyo 🐒
 
Kwahiyo mafaniko ya chadema yamekwama kwa sababu ya katiba? Mtu chake bwana!

By the way yapi yalikuwa malengo ya chadema ambao yamekwama, then from there tuyahusishe na ubovu wa katiba
 
nadhani hilo ni wazi na ni jambo la kawaida sana kwa kiongozi kufanya mabadiko kulingana na mahitaji ya wakati huo.

Nadhani Freeman Aikaeli Mbowe atakapothibitishwa kuchukua wadhifa huo Jan 22,2025, hatasita kufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…