Alute Munghwai, kaka wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ameeleza kuwa ni muhimu kurekebisha katiba ya chama hicho baada ya uchaguzi wa ndani ya chama.
Ameongeza kuwa kiongozi atakayechaguliwa atapaswa kuwa na jukumu la kurekebisha katiba ya chama chao ili kuhakikisha mafanikio ya chama.
View attachment 3191422