Kaka yangu kaforwadiwa ujumbe huu kwenye simu, afanyeje?

Jaman kwli kwa miaka 3 hii inayofuata bado tunamtegemea sana wengine wanasoma kupitia huyohuyo nyinyi Dunia hii dah
Yeye anaona cha mume wake ni haki yao, mnamcheleweshea maendeleo. Inategemea pia ametoka famila gani na malezi aliyokulia paia kipato chake. Familia za kiafrika kusaidiana ni desturi yetu, wifi haelewi wakati mnafanya kazi mnaweza kusaidia elimu ya watoto wake.
 
anahisi hathaminiwi kama anavyostahili. anahisi haja za siblings zinamata sana kwa jamaa kuliko haja zake.. pamoja na kwamba kamesaund kama kana roho ya korosho ila kapo raiti.. jamaa inabidi awe anabalansisha mambo, kote kote awe anasomeka.
 
your wife should come before your mother and the same more to your siblings.
unapofunga ndoa umeachana na familia yako rasmi ila kuna matatizo ya msingi wewe kushiriki kama vile mama au baba anaumwa na hata ndugu ktk hali mbaya ya maradhi,msiba na kama kuna mkwamo wa kifedha kwa walioko shule lakini unatakiwa kuwa kama the last alternative na sio tegemeo lao.to me my wife comes first before my mother and my whole family.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…