mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,459
Yeye si ni msanii, hawezi kuwa mwenzetu!!!Nilivyoambiwa wanawake wa kenya na Uganda wanajua mapenzi na kumcare mwanaume mwenzenu nilibishaga mjue, sasa ndio nimeamini kwa nini kaka zetu hawa wanakimbilia kwa kasi ya 4g kuowa na kuchumbia Kenya, Uganda na Rwanda
Kaka yetu Ben paul inasemekana kapata mchumba raia wa Kenya dada anapesa kama zotee, Ben sasa ni mtu wa hewani tu now anaenda ulaya kama posta vile
View attachment 977129
View attachment 977130
View attachment 977131
View attachment 977132View attachment 977133
Dada anapesa Zari ....akasomeeeNdio awe mpole sasa ajenge maisha.Akitulia atatoboa zaidi.
Ebitokeee[emoji1787][emoji1787]Kaachana na Ebitoke.??
Pesa mbele kama tai kakaaaKwa style hio hata ebitoke angelia machozi ya damu...mkasi tu!!!
Mgogo na kitonga tena, hawajawahi kufanya makosa toka enzi za Makamba!!!Dada anapesa Zari ....akasomeee
Ila ben pol namuelewa sana anajua kula na kipofu bana hahaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mgogo na kitonga tena, hawajawahi kufanya makosa toka enzi za Makamba!!!
[emoji16][emoji23]nakala kwa ebhitoke bikra wa kihaya.
Haaaaawamejaaa Masaiti wao walinzi wa nyumba na ploti za wadosi kweli wanaoenda kitongaMgogo na kitonga tena, hawajawahi kufanya makosa toka enzi za Makamba!!!
Ahahaha sema wa Kenya wanajua kuzisaka na sio wagumu kuspend na wapenzi wao. Wana ile spirit flani ya kitasha kwamba wanaeza spend na mpenzi on thier own cash, ila ukute mmbongo hapo anasubiri mpaka uombe kwenda ATM kuongeza fungu jingine na hapo ana laki kwenye pochi!Pesa mbele kama tai kakaaa
Mwanaume huwezi kutoboa kwa pesa za kuwekwa kinyumba na mwanamke. Kama Ben Pol hakuweza kutoboa kupitia mafanikio yake ya kimuziki, asitegemee pesa za malaya zinaweza kumtoa.Ndio awe mpole sasa ajenge maisha.Akitulia atatoboa zaidi.