Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu


Kwani mnapo fanya ma2c nani haswa anafaidi?
Kama na wewe unafaidi unaona ubahili gani wa kulipia Guest au Lodge?
 
nilifikiri niko peke yangu. Wanawake hawanunui vocha kazi kuombomba tu hata kwa long time one night stance.

utadhani labda yeye anajua kuwa wewe unafanya kazi voda,zain,zantel,tigo hata hao wanaofanya kazi huko hawana ubavu wa kumwaga vocha kiasi hicho.
 
Kwani mnapo fanya ma2c nani haswa anafaidi?
Kama na wewe unafaidi unaona ubahili gani wa kulipia Guest au Lodge?


ishu sio kufaidi lakini cfanyi hiyo ki2, kwanza labda pia cjawahi kutumia mapenzi ya guest/lodge enzi hizo ndio mana naona mpya hii., yaani nitoe hela yangu kulipia guest? kwani hamna ma kwenu, kwanini wewe ucmpeleke kwako au yeye kama ana kwake akupeleke?
 
utadhani labda yeye anajua kuwa wewe unafanya kazi voda,zain,zantel,tigo hata hao wanaofanya kazi huko hawana ubavu wa kumwaga vocha kiasi hicho.

wanawashikiaga bastola muwatumie hizo credits au mnatuma kwa kujitolea? mnawaendekeza wenyewe.
 
Niliyokutana nayo ilikuwa kali sijawahi kumpiga mzinga hata siku moja lakini nashangaa yeye kila siku mizinga mpaka nikawa najiuliza huyu mbona hashangai mimi demu simpigi mzinga wowote lakini yeye tu inakeraaaaaaaa

Huko uswahilini hiyo tunaita chuma ulete. Pole sana. Nxt time kuwa makini, utakuja kulipia gharama za mwanamke mwenzio!!
 

InfidelityπŸ˜›eep:πŸ˜›eep:πŸ˜›eep::hurt:
 
hahahahaha!
unakiita kipuli kimoja kuinabeba na wenzie sita......
kudadadadadeki wote wanatumia BAVARIA:becky::becky::becky::becky:

...na makange ya samaki pale salenda...sahani moja sh 12000

Kuna jamaa yeye alisema hanunui bia zaidi ya Safari kama demu hawezi anywe maji hakuna sijui cha bavaria, redbull anauliza huko kwao anapewa hivyo vitu?
 
wanawashikiaga bastola muwatumie hizo credits au mnatuma kwa kujitolea? mnawaendekeza wenyewe.

Mi gharama hizi huwa nazitoa kabla sijamega nikisha mega aaaah zinafutika kabisa
 
cjaelewa unazungumzi uhusiano wa aina gani, hata akiwa mume/mchumba haruhucwi kuomba kama amekwama?

hivi hajui wamama ndo ma-accountant? Mimi namnunulia sana, na nitaendelea!
Kwanza huwa najisikia raha sana akiniambia ameishiwa.
 
hehehe!
mamaaa la barbarita fanya mpango uingie gesti....
usije ingia gesti ubibini:becky::becky::becky::becky:

kuna raha yake huko gesti
 
sasa mdada upelekwe guest na pesa unatoa yeye, unaenda kufanyaje kama sio kulalwa?...hivi na mwanaume kabisa anacmamisha? khaaa kuna mapenzi ya ajabu kweli.
jaribu kulipia gesti uone kama haitasimama.......kwa hiyo na condom anunue yeye?
 
InfidelityπŸ˜›eep:πŸ˜›eep:πŸ˜›eep::hurt:

hapa nazungumzia nyie ambao hamjaoa/olewa, kwanini mcpelekane ma kwenu au ndio una ""beep"" so huweiz ikupeleka kila mtu home?
 
wanawashikiaga bastola muwatumie hizo credits au mnatuma kwa kujitolea? mnawaendekeza wenyewe.

Baadae mnaanza kusema wenyewe "Yule mwanaume mbahili hata vocha ya 500 hajawahi kunitumia kwenye simu" utafikiri ameambiwa kuwa una share kwenye kampuni ya simu
 

Hujapata anayefanya kazi sawasawa ndio maana unaona unachoshwa tu mwili, ukikutana na anayeweza kuidunga G-spot kisawa-sawa, mbona utalipia Guest kila siku!
 
jaribu kulipia gesti uone kama haitasimama.......kwa hiyo na condom anunue yeye?

mambo ya condom kwa usalama wa mdada anatakiwa awe nayo, lakini hayo mapezni yenu mengine ya kulipiwa mpaka lodge hapana kabisa, mwanaume gani huyo...
 
hapa nazungumzia nyie ambao hamjaoa/olewa, kwanini mcpelekane ma kwenu au ndio una ""beep"" so huweiz ikupeleka kila mtu home?

Sasa nitampelekaje home wkt mm namgea tu?
Aking'ang'ania je si itakula kwangu wkt mm namaliza ukakasi tu.
Kwangu NO wengine huwa wanataka niende nikammegee kwenye geto lako nako huko NO.
 
Hiyo haina shida nyamayao na ndio maana nimesema usubiri akupe ofa sio unalazimisha. Na bora wewe ni mumeo sasa hy ni boyfriend ana mizinga balaa akikuoa si ndio kila kitu utagharamia wewe

Du, BF? haoni noma? au yupo kibiashara zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…