Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

Marioooooooooooooooooooon... nahc huyo jamaa kakutumia si kitoto.... koma kabisa!!!:mad2:
 

Kweli Hio!!!, Vijisenti hivyo hivyo vya mjengo, kisha ukodi gesti!, ununue vikaratasi vya kinga!, mwanaume upigane na mipira kesha nzima!!!, kesho Baniani akungoja mjengoni......vipi veve iko goigoi, fikiri kazi babaaaako!!!!!!!!
 

Na wanawake sketi wakoje?
 
Kutegemea ofa kutoka kwa wanaume tuu ni mwendelezo wa mfumo dume..Na kama watu mnakutana mahali kwa ajili ya mtoko kwa nini terms zisijulikane mapema kuwa ankara italipwa vipi? Vunjeni ukimya kwa kuzungumza na sio muda wa kulipa mnategeana. Na kama suala la mizinga mbona hata wanaume wenyewe kwa wenyewe mizinga ipo kwa sana tuu..au kwa sababu mwanaume anampiga mzinga mwanamke ndo imekuwa nongwa?! huku ni kuendekeza mfumo dume..mbona wanaume wanachunwa na wanawake lakini hawalalamiki kihivyo? huu ni mwendelezo wa mfume dume pia..All in all, kupiga mzinga, kutegea kulipa bili ni tabia ya mtu..na akizidi sana haangalii kuwa aliyekuwa nae ni mwanaume mwenzie au mwanamke!
 

Oya hlo sijambo la kukfanya ushangae mwanamke kulipa bili siyo sababu ya kusema wanaume wanalelewa na madem au kutimiziwa watuwengi huwa na tabia yakuwapapesa wake zao &gf kwahiyo kulpwa bili namwanake siokuwa kamlipia, mm binfsi yangu huwa niktka my Lover huwa nampa fungu ambalo tumepanga ndio matumiziyetu huko tuendapo ankuwanzo yeye na analipa bili zote na kwa mana moja au nyingine labda nikufafanue unapokuwa na mweza kumpa majukum kama hayo kwanza inaongeza mapenzi pili maranying wanaume huwa tuna matumizi ya ziada kuliko kwahivyo kumba majukum mk & gf unaweza kusevu matumizi ya ziada sijui kwa wenzangu hasa sisi watnzania tuna mfumo wa kuwa na tabia zakuiga mambo ya zamani ufumo dume kwamba mwanaume ndo kilakitu haya ni makosa hata dini zete mbili hazija mtenga mwamke kiasi hicho
 

Umetoka lini kishumundu dada yangu:violin:
 
kwa hali hii,nitaendelea kuwa single,na sitomtegemea mtu kuendesha maisha yangu.Wanaume mnajua kutuchora,pengine wanaume wanaotoa hizi comment huko njiani ni watu na heshima zao.Lakini humu ndani wanamwaga kila kitu.Mbona mnanifanya niwe muoga wa ku date?
 

Huh! Kumbe ni wewe unayemnyasanyasa Bujibuji? Mapenzi hayachagui kipato jamani, kumbe mwanaume akiwa hana mkwanja hana haki ya kupenda? Twafa! Bujibuji pole kaka.
 

mpe habari huyo nahis hajakutana na wanaume balaa
 

usiogope ku date, ukikutana na Mr right wala hutoona kama unachunwa, tatizo tunakuwa na watu tusiowapenda ndo maana tunaona kama tunachunwa tu, wapo na wadada wenye tabia za kuomba omba kila dakika, mbona wanaume zao hawajawaleta hapa. Hayo ni mapungufu tu yavumilie kwa mtu unayempenda.
 

Usiogope Kisukari comment za mtu wakati ili hali hujui matendo yake yakoje unaweza kukuta ni VOLKSWAGEN lakini kumbe ina injini ya MERCEDES BENZ:becky::becky::becky:
 
kwasababu wakoje waliotoka huko?mschweee![/QUOTE]

Wapo pesa mbele " Asante kwenye blue" Ila wakija huku twn wanafikiri waliyotoka nayo huku ni kuishi kimjini mjini haki sawa kwa wanaume na wanawake hakuna mkopio:lol::violin:
 
Hapa mjini kula uliwe! Hamna kukatana mitama huku! Na uanaume upo palepale:eyebrows:

Nina mashaka na uanaume wako, na inawezekana wewe hata zubri yako inawalakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…