Rah_sputin
Member
- Nov 3, 2009
- 83
- 10
Kwani mnapo fanya ma2c nani haswa anafaidi?
Kama na wewe unafaidi unaona ubahili gani wa kulipia Guest au Lodge?
maty
Member Join DateTue Aug 2010Posts 29Thanks 0
Thanked 9 Times in 7 Posts
Hivi Mkuu Asprini uliumia kiuno? LINI?:confused2:
Hadi Maty ajue mi nisijue?
Hahahaha unakuta demu anakuja na nauli tu sasa kama upo mbali ni balaa hapo hapo yupo na wapambe wawili amekuja nao ambao kwa vyovyote vile ni mzigo kwako dah na wewe hapo ulikuwa unapiga hesabu mkisha kunywa uende ukamege sasa kaja na wapambe wawili sijui pesa ya mjengo kama itatosha.
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
Ila jamani wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa sio siri. Tuliwahi kukaa Mango garden hapo kinondoni siku moja tukaanza mada hii mwishowe tukaishia kusema tuone wanawake wangapi wanalipa bill? Tulihesabu karibuni meza ishirini hivi tukakuta meza 16 ni wanawake ndo wanalipa bill na ukiangalia mwanaume aliyekaa nae anaonyesha kabisa ni boy/mume wake tukaishia kukubaliana wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa na wanawake hata kama anafanya kazi.
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
Umetoka lini kishumundu dada yangu:violin:
Pole sana dada maty.....siku nyingine tafuta vidume kama sisi ambao tunaamini katika infidelity......Tuna rule yetu moja inayosema ni jukumu la infideleta kugharamia zoezi zima la infidelity kwenye first date. Usisahau second date inategemea na kilichotokea kwenye first date........
kwa hali hii,nitaendelea kuwa single,na sitomtegemea mtu kuendesha maisha yangu.Wanaume mnajua kutuchora,pengine wanaume wanaotoa hizi comment huko njiani ni watu na heshima zao.Lakini humu ndani wanamwaga kila kitu.Mbona mnanifanya niwe muoga wa ku date?
kwa hali hii,nitaendelea kuwa single,na sitomtegemea mtu kuendesha maisha yangu.Wanaume mnajua kutuchora,pengine wanaume wanaotoa hizi comment huko njiani ni watu na heshima zao.Lakini humu ndani wanamwaga kila kitu.Mbona mnanifanya niwe muoga wa ku date?
Nina wiki ya pili sasa
kwasababu wakoje waliotoka huko?mschweee![/QUOTE]
Wapo pesa mbele " Asante kwenye blue" Ila wakija huku twn wanafikiri waliyotoka nayo huku ni kuishi kimjini mjini haki sawa kwa wanaume na wanawake hakuna mkopio:lol::violin: