Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

Marioooooooooooooooooooon... nahc huyo jamaa kakutumia si kitoto.... koma kabisa!!!:mad2:
 
maty

  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email

user-online.png
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateTue Aug 2010Posts 29Thanks 0
Thanked 9 Times in 7 Posts





Hivi Mkuu Asprini uliumia kiuno? LINI?:confused2:

Hadi Maty ajue mi nisijue?


Hommie utajuaje? Labda alikuwa physiotherapist wangu, baada ya kunitibia akaamua kujiunga JF mazima....Otherwise atakuwa na kadamu ka Sheikh Yahya!!!! Am :confused2: too!!
 
Hahahaha unakuta demu anakuja na nauli tu sasa kama upo mbali ni balaa hapo hapo yupo na wapambe wawili amekuja nao ambao kwa vyovyote vile ni mzigo kwako dah na wewe hapo ulikuwa unapiga hesabu mkisha kunywa uende ukamege sasa kaja na wapambe wawili sijui pesa ya mjengo kama itatosha.

Kweli Hio!!!, Vijisenti hivyo hivyo vya mjengo, kisha ukodi gesti!, ununue vikaratasi vya kinga!, mwanaume upigane na mipira kesha nzima!!!, kesho Baniani akungoja mjengoni......vipi veve iko goigoi, fikiri kazi babaaaako!!!!!!!!
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Na wanawake sketi wakoje?
 
Kutegemea ofa kutoka kwa wanaume tuu ni mwendelezo wa mfumo dume..Na kama watu mnakutana mahali kwa ajili ya mtoko kwa nini terms zisijulikane mapema kuwa ankara italipwa vipi? Vunjeni ukimya kwa kuzungumza na sio muda wa kulipa mnategeana. Na kama suala la mizinga mbona hata wanaume wenyewe kwa wenyewe mizinga ipo kwa sana tuu..au kwa sababu mwanaume anampiga mzinga mwanamke ndo imekuwa nongwa?! huku ni kuendekeza mfumo dume..mbona wanaume wanachunwa na wanawake lakini hawalalamiki kihivyo? huu ni mwendelezo wa mfume dume pia..All in all, kupiga mzinga, kutegea kulipa bili ni tabia ya mtu..na akizidi sana haangalii kuwa aliyekuwa nae ni mwanaume mwenzie au mwanamke!
 
Ila jamani wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa sio siri. Tuliwahi kukaa Mango garden hapo kinondoni siku moja tukaanza mada hii mwishowe tukaishia kusema tuone wanawake wangapi wanalipa bill? Tulihesabu karibuni meza ishirini hivi tukakuta meza 16 ni wanawake ndo wanalipa bill na ukiangalia mwanaume aliyekaa nae anaonyesha kabisa ni boy/mume wake tukaishia kukubaliana wanaume wa siku hizi wanapenda sana kutunzwa na wanawake hata kama anafanya kazi.

Oya hlo sijambo la kukfanya ushangae mwanamke kulipa bili siyo sababu ya kusema wanaume wanalelewa na madem au kutimiziwa watuwengi huwa na tabia yakuwapapesa wake zao &gf kwahiyo kulpwa bili namwanake siokuwa kamlipia, mm binfsi yangu huwa niktka my Lover huwa nampa fungu ambalo tumepanga ndio matumiziyetu huko tuendapo ankuwanzo yeye na analipa bili zote na kwa mana moja au nyingine labda nikufafanue unapokuwa na mweza kumpa majukum kama hayo kwanza inaongeza mapenzi pili maranying wanaume huwa tuna matumizi ya ziada kuliko kwahivyo kumba majukum mk & gf unaweza kusevu matumizi ya ziada sijui kwa wenzangu hasa sisi watnzania tuna mfumo wa kuwa na tabia zakuiga mambo ya zamani ufumo dume kwamba mwanaume ndo kilakitu haya ni makosa hata dini zete mbili hazija mtenga mwamke kiasi hicho
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Umetoka lini kishumundu dada yangu:violin:
 
kwa hali hii,nitaendelea kuwa single,na sitomtegemea mtu kuendesha maisha yangu.Wanaume mnajua kutuchora,pengine wanaume wanaotoa hizi comment huko njiani ni watu na heshima zao.Lakini humu ndani wanamwaga kila kitu.Mbona mnanifanya niwe muoga wa ku date?
 
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)

Huh! Kumbe ni wewe unayemnyasanyasa Bujibuji? Mapenzi hayachagui kipato jamani, kumbe mwanaume akiwa hana mkwanja hana haki ya kupenda? Twafa! Bujibuji pole kaka.
 
Pole sana dada maty.....siku nyingine tafuta vidume kama sisi ambao tunaamini katika infidelity......Tuna rule yetu moja inayosema ni jukumu la infideleta kugharamia zoezi zima la infidelity kwenye first date. Usisahau second date inategemea na kilichotokea kwenye first date........

mpe habari huyo nahis hajakutana na wanaume balaa
 
kwa hali hii,nitaendelea kuwa single,na sitomtegemea mtu kuendesha maisha yangu.Wanaume mnajua kutuchora,pengine wanaume wanaotoa hizi comment huko njiani ni watu na heshima zao.Lakini humu ndani wanamwaga kila kitu.Mbona mnanifanya niwe muoga wa ku date?

usiogope ku date, ukikutana na Mr right wala hutoona kama unachunwa, tatizo tunakuwa na watu tusiowapenda ndo maana tunaona kama tunachunwa tu, wapo na wadada wenye tabia za kuomba omba kila dakika, mbona wanaume zao hawajawaleta hapa. Hayo ni mapungufu tu yavumilie kwa mtu unayempenda.
 
kwa hali hii,nitaendelea kuwa single,na sitomtegemea mtu kuendesha maisha yangu.Wanaume mnajua kutuchora,pengine wanaume wanaotoa hizi comment huko njiani ni watu na heshima zao.Lakini humu ndani wanamwaga kila kitu.Mbona mnanifanya niwe muoga wa ku date?

Usiogope Kisukari comment za mtu wakati ili hali hujui matendo yake yakoje unaweza kukuta ni VOLKSWAGEN lakini kumbe ina injini ya MERCEDES BENZ:becky::becky::becky:
 
kwasababu wakoje waliotoka huko?mschweee![/QUOTE]

Wapo pesa mbele " Asante kwenye blue" Ila wakija huku twn wanafikiri waliyotoka nayo huku ni kuishi kimjini mjini haki sawa kwa wanaume na wanawake hakuna mkopio:lol::violin:
 
Hapa mjini kula uliwe! Hamna kukatana mitama huku! Na uanaume upo palepale:eyebrows:

Nina mashaka na uanaume wako, na inawezekana wewe hata zubri yako inawalakini
 
Back
Top Bottom