kwasababu wakoje waliotoka huko?mschweee![/QUOTE]
Wapo pesa mbele " Asante kwenye blue" Ila wakija huku twn wanafikiri waliyotoka nayo huku ni kuishi kimjini mjini haki sawa kwa wanaume na wanawake hakuna mkopio:lol::violin:
kwikwikwi!!!!!!!!! ama kweli huku mjini haki sawa mpaka ukaamua kuolewa ili ulelewe
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
Dadangu mambo yanabadilika hivi sasa. Suala la kutoa ofa si la mwanaume tu. Nyie wenyewe kila siku mnalia na 50 kwa 50. Sasa ukiambiwa tu ulipie vinywaji unapiga kelele. Je ukiambiawa ulipie guest na bado jamaa anakutafuna utafanyaje. Unatakiwa ubadilike lipia ofa kwa furaha
Waume wengi wa siku hizi (sio wote) ndio maana tunawaita wanaume suruali mwanaume kazi kupiga mizinga mara nitumie vocha, au anakuita kukupa ofa halafu anasema mimi nalipia chakula vinywaji unalipa wewe, sasa uliniitia nini kama unaona huna hela. Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha? nisiwafiche kaka zangu ni bora usimpe mwanamke hela wewe ukumuita mpe ofa ya nguvu kisha mrudishe kwao atakuheshim lakini wewe usiombe hela kwa mwanamke ni dharau kubwa mno hata kama huna kipato kikubwa mwanamke kakuzidi we jikaushe tu anaweza kukupa mwenyewe (NOTE: MWANAUME NI AIBU KUPIGA MZINGA NI MWIKO)
hakuna shida so long as mnatafunana. kwani nani alsema wanawake ndo wanatafunwa? hata wao raha wanaisikia, so no big deal kulipia guest:mad2:
Hata kama tunatafunana jamani tukiachana na hili swala la usawa mwanaume na mwanamke kuna maeneo fulani lazima mtofautine sasa hili la kupiga mizinga limekaa kike zaidi mwanaume ukijiingiza humu haipendezi we komaa tu na uanaume wako hata kama gf/mke wako anakuzidi kipato hata mkitoka we agiza kulingana na mfuko wako na mwenzio anaweza kuendeleza ofa lakini kwa mapenzi yake ni c kwa wewe kumwambia fanya hiv mbona cc tukishapenda tunatoa tu bila kuombwa?
ULIPOINGIA JAMll FORUMS ulikuja na mbinu yako ya kusakasaka mume, vipi, ndio umepata mpiga mizinga nini?
Buji kaka mbona unaua mazima??
Watu wana kumbukumbu!
bado nasubiri ripoti ya jumamosi....ileee......how was it
halafu hapa kuna nini manake huko Zenji anaapishwa Shein!
hahaha asprin ww kwa hiyo kama matokeo ya first date hayakuwa mazuri,what next?Pole sana dada maty.....siku nyingine tafuta vidume kama sisi ambao tunaamini katika infidelity......Tuna rule yetu moja inayosema ni jukumu la infideleta kugharamia zoezi zima la infidelity kwenye first date. Usisahau second date inategemea na kilichotokea kwenye first date........
hahaha asprin ww kwa hiyo kama matokeo ya first date hayakuwa mazuri,what next?