Kakobe: JK Kavuruga Mchakato wa Katiba, amtaka aombe radhi

Kakobe: JK Kavuruga Mchakato wa Katiba, amtaka aombe radhi

Kakobe ni mfuasi wa CDM na anamachungu ya kutoteuliwa kwenye bunge la katiba,lazima aseme chochote

Tapeli wa kutupwa, kuaibia maskini na wasiojiweza.....ila kuna pointi kaongea za kukubalika
 
Sijui hata umeandika nini hapa, bila shaka ulipata dv 4
Mchakato wa katiba umeanzishwa na mwenyekiti wa CCM Rais JK , harafu akateuwa Wajumbe wa Tume na kumuchagua Jaji Warioba ambaye ni CCM na mtu wa karibu na BABA wa Taifa!!
Sasa KAKOBE anamuunga mkono Jaji Warioba ambaye ni CCM iweje wewe unatuchanganya ???
Kwani Warioba ni CDM??
 
Huna kumbukumbu wewe! Kakobe alisimama hadharani pale jangwani akiunga mkono haraksti za cdm,inawezekana ww huna kumbukumbu
U dnt get it....kwani Kakobe kusimama pale tht day alikuja kama mwana cdm?..aliiweka wazi...yeye alikuja kama baba wa kiroho..na ameirudia tena..mbona Sabodo anatoa msaada kwa CDM..hamsemi ni CDM?...alafu issue hapa ni UKAWA sio CDM...unaji changanya na kutaka kutuvuruga tulioelewa..simamia ukweli kaka usiwe mnafki..CCM wanaipeleka hii nchi kwenye matatizo makubwa sana kwa uchu wa madaraka na ni kikundi cha watu wachache ndio wanaopanga huu mpango utao isambaratisha amani ya nchi!
 
Kakobe ana msimamo kama ZZK, hii ni tabia ya waha piga ua garagaza hawapendi kupindisha pindisha ukweli wa mambo
 
U dnt get it....kwani Kakobe kusimama pale tht day alikuja kama mwana cdm?..aliiweka wazi...yeye alikuja kama baba wa kiroho..na ameirudia tena..mbona Sabodo anatoa msaada kwa CDM..hamsemi ni CDM?...alafu issue hapa ni UKAWA sio CDM...unaji changanya na kutaka kutuvuruga tulioelewa..simamia ukweli kaka usiwe mnafki..CCM wanaipeleka hii nchi kwenye matatizo makubwa sana kwa uchu wa madaraka na ni kikundi cha watu wachache ndio wanaopanga huu mpango utao isambaratisha amani ya nchi!

Jaji Warioba ni CCM na anampinga JK mwenyekiti wa CCM ambaye alimteua , sasa hapo hamsemi kuwa Warioba ni CDM
Joseph Butiku ambaye ni CCM anampinga Kikwete
Ofisi ya waziri Mkuu ambayo watendaji wake wengi ni CCM walipendekeza serikali tatu na wanamuunga Warioba!!
sasa kwa nini Kakobe akitoa maoni hayo anaonekana CCM??
 
Jaji Warioba ni CCM na anampinga JK mwenyekiti wa CCM ambaye alimteua , sasa hapo hamsemi kuwa Warioba ni CDM
Joseph Butiku ambaye ni CCM anampinga Kikwete
Ofisi ya waziri Mkuu ambayo watendaji wake wengi ni CCM walipendekeza serikali tatu na wanamuunga Warioba!!
sasa kwa nini Kakobe akitoa maoni hayo anaonekana CCM??
U see...hapa hakuna anayempinga rais!..hapa ni watu wanatoa mawazo yao..warioba na tume yake butiku akiwepo wao walitumwa kuyakusanya...sasa wengi wanasema serikali tatu...ok..hiyo ndio sauti ya umma..wanataka tatu..wapeni..kakobe amesimamia hapo kwenye ukweli huo...rais kajipenyeza bungeni..mahali asipostahili kutoa maoni yake sababu muda ulishaisha na ilikuwa inawasilishwa ijadiliwe..akachafua hali ya hewa yeye na ccm wenzake...labda ulitaka kakobe asemaje sasa?...akubali uongo mchana kweupe?
 
Tapeli wa kutupwa, kuaibia maskini na wasiojiweza.....ila kuna pointi kaongea za kukubalika
tatizo humu ndani hivi huwezi kuchangia point pasina kumshambulia mtu? et kakobe tapeli alikutapeli nn? hv maadili kwenye ishakuwa byebye? elimu hii inyotolewa sasa haina maadili hata chembe.. nadhan wewe ni zao la hiyo elimu ya BRN hahaha Brain Receive Nothing... nisamehe kama nimekuudhi....
 
Kakobe ni mfuasi wa CDM na anamachungu ya kutoteuliwa kwenye bunge la katiba,lazima aseme chochote
Kuzungumza nako ni kazi Nivizuri kujifunza kuongea KAKOBE unayemtaja akitaka kuchaguliwa hata uraisi anashinda sembuse ukawa kazi anayofanya nikubwa zaidi ya senti za bungeni.Heshimu watu haki ya kila mtanzania kutoa maoni.ELEWA HILO
 
Kasema yeye ni Tajiri kuliko Tanzania!! Bado najiuliza utajiri wa tz tulionao, kakobe has got everything. Hivi kakobe anautajiri wa shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom