Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
WAPENDWA BWANA YESU ASIFIWE;
kutokana na maisha magumu na yaliyojaa na kila aina ya mkanganyiko wanadamu wengi tumexchanganyikiwa na kukuta tunafanya mambo yasiyokuwa sahihi.kibaya zaidi naamini din ambazo leo hii hazikuletwa kwetu ili ziwe chanzo cha kisima cha wajanja wachache kuchota fedha badala yake zilikuja ziwe faraja kwetu ;ASKOFU ZACHARIA KAKOBE ni mmoja watu jamii wanapaswa kumuangalia kwa makini sana na kw amacho mawili,na kumuuliza maswali ya msingi...badala ya kumtazama akifanya mambo ambayo hata YESU KRISTO kristo hakunwahi kufanya..kwa wale wakristo na ambao si wakristo watakubaliana nami kakobe si askofu wala mchungaji ni mmoja wa wajanja wa mjini ambae amefanikiwa kuteka akili za watu wenye akili zao timamu na kuziweka mifukoni mwake...
KAKOBE huyuhuyu amekuwa akiwanyoshea wenzake vidole ambao kwa kiasi fulanai huduma zao zimeonekana nchini..alipotea siku nyingi kabla ya kuibuka na kuwalaumu wenzake wa deci kwa kuwadanganya na kuwahujumu wananchi...kwa sababu aliamua kuzungumza hadharani nae yamkini atendewe haki kwa sababu watanzania si mizuzu.. swala la DECI limeshafikia tam,ati si vyema kuendelea kulizungumzia..lakini SUALA la KAKOBE ni zaidi ya DECI.....KWA MUJIBU WA BIBLIA SUALA LA MATOLEO NI KATI YA MUUMINI NA MWENEYEZI MUNGU. ANAYEMUABUDU,NA SI SWALA LA ASKOFU WA AINA YA KAKOBE..LAKINI NDANI YA KANISA LAKE LA FULLGOSPEL MAMBO NI TOFAUTI.KAKOBE ANAFANYA BIASHARA CHAFU NA HARAMU NA ANAITAJIKA KUCHUNGUZWA ZAIDI YA DECI......NA HII NI KUTOKANA NA MAMBO YAFUATAYO YALIYOFANYIKA WIKII HII KANISANI MWAKE
BAADHI YA WAUMINI WAMECHANGANYIKIWA BAADA YA KULAZIMISHWA KUJAZA FOMU ZINAZOONYESHA MALI ZAO.. ZIITWAZO ::
""TAARIFA BINAFSI ZA MTOA ZAKA MUHIMU;"
Kila mshiriki wa kanisa anaitajika kujaza fomu hiyo ikiwa ni pamoja na mume;mke;watoto...yeyote mkubwa.unaitajika kuto ataarifa sahihikuhusu mapato yako ya kila mwezi na ukweli wote,,ukifahamu fika hatuwezi kumficha MUNGU imeandika fomu hiyo....
kutokana na maisha magumu na yaliyojaa na kila aina ya mkanganyiko wanadamu wengi tumexchanganyikiwa na kukuta tunafanya mambo yasiyokuwa sahihi.kibaya zaidi naamini din ambazo leo hii hazikuletwa kwetu ili ziwe chanzo cha kisima cha wajanja wachache kuchota fedha badala yake zilikuja ziwe faraja kwetu ;ASKOFU ZACHARIA KAKOBE ni mmoja watu jamii wanapaswa kumuangalia kwa makini sana na kw amacho mawili,na kumuuliza maswali ya msingi...badala ya kumtazama akifanya mambo ambayo hata YESU KRISTO kristo hakunwahi kufanya..kwa wale wakristo na ambao si wakristo watakubaliana nami kakobe si askofu wala mchungaji ni mmoja wa wajanja wa mjini ambae amefanikiwa kuteka akili za watu wenye akili zao timamu na kuziweka mifukoni mwake...
KAKOBE huyuhuyu amekuwa akiwanyoshea wenzake vidole ambao kwa kiasi fulanai huduma zao zimeonekana nchini..alipotea siku nyingi kabla ya kuibuka na kuwalaumu wenzake wa deci kwa kuwadanganya na kuwahujumu wananchi...kwa sababu aliamua kuzungumza hadharani nae yamkini atendewe haki kwa sababu watanzania si mizuzu.. swala la DECI limeshafikia tam,ati si vyema kuendelea kulizungumzia..lakini SUALA la KAKOBE ni zaidi ya DECI.....KWA MUJIBU WA BIBLIA SUALA LA MATOLEO NI KATI YA MUUMINI NA MWENEYEZI MUNGU. ANAYEMUABUDU,NA SI SWALA LA ASKOFU WA AINA YA KAKOBE..LAKINI NDANI YA KANISA LAKE LA FULLGOSPEL MAMBO NI TOFAUTI.KAKOBE ANAFANYA BIASHARA CHAFU NA HARAMU NA ANAITAJIKA KUCHUNGUZWA ZAIDI YA DECI......NA HII NI KUTOKANA NA MAMBO YAFUATAYO YALIYOFANYIKA WIKII HII KANISANI MWAKE
BAADHI YA WAUMINI WAMECHANGANYIKIWA BAADA YA KULAZIMISHWA KUJAZA FOMU ZINAZOONYESHA MALI ZAO.. ZIITWAZO ::
""TAARIFA BINAFSI ZA MTOA ZAKA MUHIMU;"
Kila mshiriki wa kanisa anaitajika kujaza fomu hiyo ikiwa ni pamoja na mume;mke;watoto...yeyote mkubwa.unaitajika kuto ataarifa sahihikuhusu mapato yako ya kila mwezi na ukweli wote,,ukifahamu fika hatuwezi kumficha MUNGU imeandika fomu hiyo....