Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu maswali yako ni mazito, ila bado kuna vitu vingi unkown.
Ukiamka na kusimamia biblia kikamilifu pasi kufuata siasa za makanisani bila shaka utaona katoliki hamna kitu, so as other many churches,I bet unaweza kurudi kwa Kakobe na kuona afadhali!!!
ndugu yangu umeonge mambo mengi hadi umefikia point ya kujichanganya, issue haikuwa Katoliki au dini nyingi Topic inazungumzia Kakobe, basi wewe zama na jibu hoja za hizo Fomu za huyo bwana
na inavyoelekea wewe unafata dini kwa sababu umezaliwa nayo lakini sioni hata chembe yako ya kuamini hiyo biblia
Pdidy nini maana yake ? Pastor Didy, Padre Didy? Papa Didy au? haiwezekani ikawa yule mwanamuziki never unless PC yangu unanidanganya!
Mkuu ni PONSINYORI DIDY
Ahahahaaaa mambo ya kiroho.
Kwani umelazimishwa kwenda kwa Kakobe? si uhame tu!!!
Imeandikwa: Siku za mwisho zitaibuka dini/dhehebu nyingi za UONGO.
Na kweli tunaziona na huyu Kakobe ni mmoja wao!
Mkuu maswali yako ni mazito, ila bado kuna vitu vingi unkown.
Ukiamka na kusimamia biblia kikamilifu pasi kufuata siasa za makanisani bila shaka utaona katoliki hamna kitu, so as other many churches,I bet unaweza kurudi kwa Kakobe na kuona afadhali!!!
ndugu yangu umeonge mambo mengi hadi umefikia point ya kujichanganya, issue haikuwa Katoliki au dini nyingi Topic inazungumzia Kakobe, basi wewe zama na jibu hoja za hizo Fomu za huyo bwana
na inavyoelekea wewe unafata dini kwa sababu umezaliwa nayo lakini sioni hata chembe yako ya kuamini hiyo biblia
asante kaka is just because your looking in 1-D I am looking in 3-D!
WAPENDWA BWANA YESU ASIFIWE;
........kwa wale wakristo na ambao si wakristo watakubaliana nami kakobe si askofu wala mchungaji ni mmoja wa wajanja wa mjini ambae amefanikiwa kuteka akili za watu wenye akili zao timamu na kuziweka mifukoni mwake...
...
Ukiamka na kusimamia biblia kikamilifu pasi kufuata siasa za makanisani bila shaka utaona katoliki hamna kitu
Ama kweli Kakobe usanii mtupu: anajua namna ya kuwakamua waumini wake!
Yeye amevaa suti yake safi na kitambi chake: yet ukiwaona waumuni wake choka mbaya, na bado anazidi kuwakamua!
Nakuunga mkono katika hili 100% japo sinta-mhukumu kamwe atakayefanya kwa namna nyingine.Naona sarakasi zimeanza ..lol
Mimi binafsi siamini kuna justification yeyote ya muumini kuorodhesha mapato yake kwa mchungaji wako. This is absurd. Jinsi ninavyo-manage finance zangu ni Mola tu anajua, na hapaswi yeyote kuanza sarakasi za kuniconvince kwa kutumia his misplaced understanding of Biblical verses.
Ndio maana mimi nilishaacha zamani kutoa zaka sijui sadaka ili mchungaji akanunue suti kali au gari wakati kuna wahitaji mtaani wanavaa midabwada na hawajui mlo unaofuata utatoka wapi. Pesa alonijalia Mungu nashea na wenye shida na un-preveleged people ONLY. Na inapobidi kuchangia ujenzi au chochote, inabidi kiwe well documented ili nitoe mchango wangu, bila hivyo watanisikia tu kwenye bomba. Hawa wachungaji its time waige mfano wa Paulo aliyekuwa akila kwa jasho lake mwenyewe pamoja na ontransit nyingi tu za kuhubiri injili ktk mazingira magumu.
SIO NA SISEMI AMINA.....!
BISHOP KAKOBE anabaki mtumishi wa MUNGU aliye juu.....! anaweza kuwa na mtazamo tofauti juu ya jambo fulani lakini bado anabaki GOD'S SERVANT.....!
kuorodhesha mali ni utapeli...? Mbona serikali inahitaji watumishi wake waorodheshe mali zao? je na huo ni utapeli au UTAWALA BORA...?
Anachofanya mtumishi wa MUNGU aliye hai ni KUWAEPUSHA WAUMINI NA DHAMBI YA ANANIA NA SAFIRA....! au mimi ndo nasoma BIBLIA TOFAUTI NA YA WENGINE....?
WATU HAWA KATIKA BIBLIA WALIFICHA TAARIFA MUHIMU NA WOTE MAUTI ILIWAKUTA.....!
HALAFU BIBLIA KATIKA WARAKA WA YAKOBO INATUELEZA TUSIWE WEPESI WA KUNENA BALI TUWE WEPESI WA KUSIKIA.....!
TUANGALIE TUSIJEINGIA UPOTEVUNI KWA KUWA WASEMAJI.....!
SASA NASEMA BWANA YESU APEWE SIFAAAA.!