Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 17
Kwa hiyo wewe unauona je upinzani uliopo?
Mimi naona upinzani uko safi kabisa na kwa kadri muda unavyoendelea, mapandikizi ya ccm yataondoka na wapinzani wa kweli watasimama jaribio la nyakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe unauona je upinzani uliopo?
Watu wengine bana, kama hakuna upinzani kwa nini wewe mwenye akili timamu usianzishe upinzani wa kuaminika? Kukaa tu pembeni na kutegemea wengine wakufanyie kazi.
Unachosema SD ni kweli watu hapa wanasubiri upinzani sijui utoke wapi mbinguni kwani nani alizaliwa na upinzani eti wanasema hakuna upinzani eti Mbowe si Mpinzani eti Slaa si mpinzani eti Chadema si chama cha upinzani mbona wao hawaji na solution au waanzishe chama chao tuwaunge mkono
the Waberoya True & Real Political Party WTRPP au Tumain Silent Movement Party TSMP vingevyo acheni kuwabeza wenzenu if you cant fight join them but if you cant join better keep quit or choose any where to go.
Unachosema SD ni kweli watu hapa wanasubiri upinzani sijui utoke wapi mbinguni kwani nani alizaliwa na upinzani eti wanasema hakuna upinzani eti Mbowe si Mpinzani eti Slaa si mpinzani eti Chadema si chama cha upinzani mbona wao hawaji na solution au waanzishe chama chao tuwaunge mkono
the Waberoya True & Real Political Party WTRPP au Tumain Silent Movement Party TSMP vingevyo acheni kuwabeza wenzenu if you cant fight join them but if you cant join better keep quit or choose any where to go.
Mimi naona upinzani uko safi kabisa na kwa kadri muda unavyoendelea, mapandikizi ya ccm yataondoka na wapinzani wa kweli watasimama jaribio la nyakati
Unachosema SD ni kweli watu hapa wanasubiri upinzani sijui utoke wapi mbinguni kwani nani alizaliwa na upinzani eti wanasema hakuna upinzani eti Mbowe si Mpinzani eti Slaa si mpinzani eti Chadema si chama cha upinzani mbona wao hawaji na solution au waanzishe chama chao tuwaunge mkono
the Waberoya True & Real Political Party WTRPP au Tumain Silent Movement Party TSMP vingevyo acheni kuwabeza wenzenu if you cant fight join them but if you cant join better keep quit or choose any where to go.
Unachosema SD ni kweli watu hapa wanasubiri upinzani sijui utoke wapi mbinguni kwani nani alizaliwa na upinzani eti wanasema hakuna upinzani eti Mbowe si Mpinzani eti Slaa si mpinzani eti Chadema si chama cha upinzani mbona wao hawaji na solution au waanzishe chama chao tuwaunge mkono
the Waberoya True & Real Political Party WTRPP au Tumain Silent Movement Party TSMP vingevyo acheni kuwabeza wenzenu if you cant fight join them but if you cant join better keep quit or choose any where to go.
Mkuu kwenye maisha watu wenye akili wanajifanyia assesment wenyewe na kuchagua wawe viongozi maeneo gani nafikiri kina mbowe slaa etc walichagua baada ya kufanya asssesment zao wenyewe kwamba ni viongozi wa kitaifa wa kisiasa? sasa nasema je wanaweza kufanya alichofanya kakobe hawawezi kwasababu hawana wafuasi wanaowaamini ..then waji assses wenyewe kwamba ni failure
Mimi nimeji assses mwenyewe nikachagua kuwa kiongozi wa biashara zangu kazi ya yangu ni kuhakikisha my business inaendelea kubaki, profitable na nina uwezo wa kulipa wafanyakazi wangu..period! huko ndiko nilikochagua na hapo viongozi wenzangu (wafanyakazi) wananiamini na wananifuata siku nikishindwa kuwashawishi kwa hoja naachia ngazi hicho ndicho yardstick
Kina slaa na mbowe wamechagua siasa wakiwa hawawezi for all those years kudai mambo ya msingi kama katiba, tume huru, etc na kuwaelimisha wananchi nikiwemo mimi niwafuata naweza kusema hawano uwezo..period!
Mambo ya Imani hayo mkuu ni tofauti,wewe hukuona Kakobe na t-shirts zao zinasema serikali imwogope Mungu?Kwa hiyo tayari wanakuwa wameshaunganishwa na fact wanayoamini kwamba wanapigania kazi ya Mungu.
Hakuna level ambayo mwanasiasa anaweza kuwaunganisha wananchi kwa namna hiyo,the only time ni pale waananchi walipoambiwa JK ni chaguo la Mungu na kwahivyo waliamini kumchagua JK ni kazi ya Mungu...Very few times kuna scenarios kama hizo,lakini kwa ujumla ni lazima Imani iwepo kwa lolote lile linalopiganiwa being it kwa kupitia dini ama siasa.....Wananchi ama wafuasi hao ni lazima waamini kabisa kwamba kuufutilia ufisadi mbali katiba mpya ni suluhisho....Tatizo tulilonalo sisi watanzania ni kujikita zaidi kwenye issue zinazotugawanya zaidi ya zile zinazotuunganisha,ni lazima tuamini kwamba maslahi ya Taifa ni namba moja,hapo maslahi ya Taifa yanaweza kuwa imani ya kuwaunganisha watanzania bila kujali dini....Tukianzia hapo,then we'll talk.
Unachosema SD ni kweli watu hapa wanasubiri upinzani sijui utoke wapi mbinguni kwani nani alizaliwa na upinzani eti wanasema hakuna upinzani eti Mbowe si Mpinzani eti Slaa si mpinzani eti Chadema si chama cha upinzani mbona wao hawaji na solution au waanzishe chama chao tuwaunge mkono
the Waberoya True & Real Political Party WTRPP au Tumain Silent Movement Party TSMP vingevyo acheni kuwabeza wenzenu if you cant fight join them but if you cant join better keep quit or choose any where to go.
Kakobe anawaumini mia tatu lakini madai yake (japo mimi naamini ame-over state issue yenyewe) lakini ameweza kuonyesha kwamba number is not the issue...
Hizo streotype kwamba watu hawana elimu ina maana wao hawana elimu kabisaa...
Kama una elimu unaweza kumfundisha mtu yeyote akakuelewa na kukuamini, hawaamini kwasababu wao wenyewe hawana elimu/maarifa ya kuwaambia wananchi wanachoelewa au wanachoamini!
Najiuliza hata wafuasi mia tatu jamani then...huko upinzani bado sana...
Nikijiunga nao niwe zezeta? mbona wanafukuzana hovyo, unafikiri mimi nitapona huko? yaani nisiulize Mbowe kaipa Chadema sh. ngapi na mpaka sasa ahivi amelipwa sh. ngapi,. kama wewe usiyeijua Chadema kiundani uko hivi je wenye chama?
Kubali kuwa havina sura ya kitaifa
Nimekuonya mara nyingi sentensi unazozisema ni kukosa hoja, leo wakisemwa Polisi, basi niwe polisi, au haujawahi kukosoa watendaji serikalini?
nikikomkosoa JK, basi niwe rais!, nikisema manesi hospitali ya Temeke wana roho Mbaya, kesho huyooo nikavae nguo nyeupe niwe nesi
jibu hoja!
If you dig deep inside you will find out that all these is due to beliefs
naamini CUF na ndio maana member wa cuf, naamini ukristo na ndio maana ni mkristo
sijaona mtu anayejiita mwanachama wa chama fulani halafu haamini katika hicho chama!!
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuamini na kuwa mwanachama/mwanadini
Kuna watu ni wakristo/waislamu lakini hawana imani..msingi ya imani ni pamoja na kufuata kwa vitendo vyako vyote
Huko Chadema/CUF kuna members tu wenye malengo tofauti wengine kwa ajili ya vyeo wengine kwa ajili ya status
Kinachotakiwa ni kiongozi hasa wa kuwapa imani, na yeye mwenyewe awe na imani kwa vitendo wamfuate..wapo hakuna kwasababu hawajui wanachokiamini na vipi wakipate
kwa wakristo tunasema kuna ngano na magugu!
kwa hiyo naona wapinzani wengi ni magugu, tu kuna vyama ukivigusa utasikia anayekilinda chama ni mmoja au wawili!
Unapowalinganisha Waalimu ni lazima pia uwalinganishe na wanafunzi wao. Huwezi kusema Mwalimu fulani hodari kuliko mwenzake, eti kwa kuwa wanafunzi wake wengi wamefaulu. Je, wanafunzi waliofeli kule kwa mwenzake wakoje? Kuna wanafunzi wasioweza kufundishika hata wakipewa mwalimu gani. Pamoja nayo, huna budi pia kuyatafakari mazingira ya kufundishia na kufundishiwa.
Vivyo hivyo, kwa viongozi. Kakobe ana makanisa mangapi na waumini wangapi? Na viongozi hao wanaolaumiwa wana mashina mangapi na watu wangapi wanaowaogoza? Kisha, tusiache kutambua kinachoongozwa. Yaani siasa na imani ya dini. Wanasema, huwezi kulinganisha machungwa na malimau.
Jaribu kuleta majadiliano ya kidini hapa, uone jinsi yatakavyokwenda tofauti na majidiliano ya kisiasa. Kusema ni rahisi zaidi kuliko kutenda.